Wafuasi wao wa Twitter tu walitosha kumchangia Lisu mabilioni ya pesa

Crimea

JF-Expert Member
Mar 25, 2014
25,031
33,752
Hili suala la Lisu kuchangiwa gari nimeona lisipite hivi hivi.

Pamoja na ubovu wote wa Samia ila wafuasi wa chadema ni wanafiki sana aisee.

Mpaka leo wiki inaisha Lisu hajafikisha hata sh. milioni 20 za kumnunulia gari!

Lisu ana wafuasi zaidi ya laki 7 twitter
Maranja Masese wafuasi laki 5
Maria Sarungi wafuasi milioni 1+
Lema wafuasi zaidi ya laki 8

Imagine wote hawa ameshindwa kupata milioni 500 ya kununua shangingi la Lisu?

Kama kila mmoja hapo akatoa wafuasi elfu 50 wangepataikana wafuasi 200,000 kisha kila mmoja angechanga sh. elfu 2000 wangeshapata milioni mia 4 za fasta tu.

Je, watu wamempuuza Lisu?
 
Hili suala la Lisu kuchangiwa gari nimeona lisipite hivi hivi.

Pamoja na ubovu wote wa Samia ila wafuasi wa chadema ni wanafiki sana aisee.

Mpaka leo wiki inaisha Lisu hajafikisha hata sh. milioni 20 za kumnunulia gari!

Lisu ana wafuasi zaidi ya laki 7 twitter
Maranja Masese wafuasi laki 5
Maria Sarungi wafuasi milioni 1+
Lema wafuasi zaidi ya laki 8

Imagine wote hawa ameshindwa kupata milioni 500 ya kununua shangingi la Lisu?

Kama kila mmoja hapo akatoa wafuasi elfu 50 wangepataikana wafuasi 200,000 kisha kila mmoja angechanga sh. elfu 2000 wangeshapata milioni mia 4 za fasta tu.

Je, watu wamempuuza Lisu?
Kwa nini Lissu atumie shangingi wakati wafuasi wake wengi ni masikini wanyonge walala hoi wala mihogo tu??
 
Hili suala la Lisu kuchangiwa gari nimeona lisipite hivi hivi.

Pamoja na ubovu wote wa Samia ila wafuasi wa chadema ni wanafiki sana aisee.

Mpaka leo wiki inaisha Lisu hajafikisha hata sh. milioni 20 za kumnunulia gari!

Lisu ana wafuasi zaidi ya laki 7 twitter
Maranja Masese wafuasi laki 5
Maria Sarungi wafuasi milioni 1+
Lema wafuasi zaidi ya laki 8

Imagine wote hawa ameshindwa kupata milioni 500 ya kununua shangingi la Lisu?

Kama kila mmoja hapo akatoa wafuasi elfu 50 wangepataikana wafuasi 200,000 kisha kila mmoja angechanga sh. elfu 2000 wangeshapata milioni mia 4 za fasta tu.

Je, watu wamempuuza Lisu?
umaambwa uchang?
 
Halafu kesho unakuta anaanza kupiga makelele kuwa wameibiwa kura wakati anajuwa ukweli kuwa hana watu wanaomuamini wala kumuunga mkono .
We chawa unatakiwa usikitike badala ya kukenua meno hapa, kwamba mamako kaua uchumi wananchi wake wamechoka hawana pesa mifukoni hata michango midogo inawashinda!
Mie mwenyewe namuunga mkono Lisu, sana tu...ila mambo tait sijachanga!.
 
Tatizo hili Taifa lina Mazumbukuku wengi mno,Mpumbavu mmoja anahoji hawezi kumchangia Lisu anunue gari wakati wafuasi wake wanatembea kwa miguu!.

Mpumbavu huyo huyo analipa kila mwezi kwenye App ya Mange ili kupata habari za Udaku za zinazohusu nyuchi za watu na amewezesha Mange kumiliki magari makali ya kifahari huko Marekani!

Linapokuja Tatizo linalohusu maslahi ya umma hapa nchini kutoka kwa watawala,Mpumbavu yuleyule ataanza kupanua domo lake ya Kwamba "Upinzani hautusemei shida zetu"

Mara oooh "Lisu sikuhizi yuko kimya"

Mara oooh "Serikali inatunyanyasa Upinzani tupazieni sauti!"


HAPA NDIPO UNAWEZA KUONA NAMNA KIWANGO CHA UPUMBAVU KWENYE NCHI HII NAMNA KILIVYO KIKUBWA!
 
Hili suala la Lisu kuchangiwa gari nimeona lisipite hivi hivi.

Pamoja na ubovu wote wa Samia ila wafuasi wa chadema ni wanafiki sana aisee.

Mpaka leo wiki inaisha Lisu hajafikisha hata sh. milioni 20 za kumnunulia gari!

Lisu ana wafuasi zaidi ya laki 7 twitter
Maranja Masese wafuasi laki 5
Maria Sarungi wafuasi milioni 1+
Lema wafuasi zaidi ya laki 8

Imagine wote hawa ameshindwa kupata milioni 500 ya kununua shangingi la Lisu?

Kama kila mmoja hapo akatoa wafuasi elfu 50 wangepataikana wafuasi 200,000 kisha kila mmoja angechanga sh. elfu 2000 wangeshapata milioni mia 4 za fasta tu.

Je, watu wamempuuza Lisu?
Nadhani hii inaonyesha kwamba wengi wa wanaomchangia ni maskini.
 
Hata alipopigwa risasi, wengi walikuwa wanakesha baa tu wakilewa, Maranja yeye alikuwa anashinda na misokoto tu.

Lissu na yeye aangalie jinsi ya kula, watanzania hatuhitaji msaada wake kufanya maisha yetu yawe mazuri, kwanza tumezoea hali zetu
Shida ya huyu Jamaa ni kuwa, kwa yeye, kula sio kipa umbele, sio kitu. Angekuwa anapenda kula angekuwa Professor Marakani, lakini akarudi! Huyu kula hajui, ndio shida yake!
 
Hili suala la Lisu kuchangiwa gari nimeona lisipite hivi hivi.

Pamoja na ubovu wote wa Samia ila wafuasi wa chadema ni wanafiki sana aisee.

Mpaka leo wiki inaisha Lisu hajafikisha hata sh. milioni 20 za kumnunulia gari!

Lisu ana wafuasi zaidi ya laki 7 twitter
Maranja Masese wafuasi laki 5
Maria Sarungi wafuasi milioni 1+
Lema wafuasi zaidi ya laki 8

Imagine wote hawa ameshindwa kupata milioni 500 ya kununua shangingi la Lisu?

Kama kila mmoja hapo akatoa wafuasi elfu 50 wangepataikana wafuasi 200,000 kisha kila mmoja angechanga sh. elfu 2000 wangeshapata milioni mia 4 za fasta tu.

Je, watu wamempuuza Lisu?

Watanzania siyo wajinga
 
Mbona kuna uzi watu wanamsifia na kutoa povu kuwa ana hela sana na ni mwana sheria, sasa mchango wa nini kwa tajiri?
Mara michango, mara ana uwezo mkubwa kifedha na kwingine watoto na mama watoto wanakula income support ulaya wakisubiri huruma ya mzungu
Tusaidieni au aje aseme yeye ni ombaomba au tajiri
 
Back
Top Bottom