Masombogoto
Member
- Sep 10, 2016
- 25
- 24
WAFU WAPO WAPI?
Karibu sana msomaji wangu, tujifunze kuhusu mada hii muhimu ambayo wengine wameipotosha kwa hadithi zao wenyewe na kuliacha neno la Mungu kando.
Ukiwa unasoma neno hili, ni muhimu sana uwe na biblia yako pembeni, ili ujiridhishe kwa yale niliyoyaandika hapa.
Kuna nadharia nyingi sana kuhusu kifo. Zingine zimeletwa humu JF na watu werevu, lakini bahati mbaya, hizo zote ni hadithi tu zisizo na msingi wa neno la Mungu.
Hebu tuanze pamoja.
Kaa na biblia yako karibu.
Uumbaji: Mwanzo 1;1-23 siku tano Mungu anaumba mtu.
Halafu pia kuna aina mbili za uumbaji
Kutamka ikawa (aya ya 24&25)
Kufinyanga (26&27)
Kwa upekee wa mwanadam, Mungu anaelezea zaidi ilivyokuwa katika Mwanzo 2:7, 21-23
Baada ya kumuumba mtu, mbingu na nchi zikamalizika, na jeshi lake lote. Mwanzo 2:1-2
Kuna maneno makuu 3 ya msingi (kamusi ya TUKI 2004)
Uhai; ni kitu kinachowezesha kiumbe kuishi kwa kuendesha shughuli zake za kiwiliwili; kinyume cha ufu.
Kifo; ni tukio au tendo la kufikia mwisho wa uhai; mauti.
Mauti; ni hali inayomfanya kiumbe kukosa uhai
Kifo ni nini basi? Kifo ni kinyume cha kuumba.
Vitu vilivyotumika kumuumba mtu ni
Udongo (mavumbi ya ardhi)
Pumzi ya uhai
Mungu ndiye muumbaji.
Je, kifo kilisababishwa na nini?
Mwanzo 2:16,17 Mungu anampa Adam maelekezo ili asife
Mwanzo 3:1-6 Anguko la Adam na Hawa
Ufunuo 12:7-9 Nyoka ni Shetani
Ni nini kilitokea baada ya kuasi?
Mwanzo 3:7
Yalitokea yafuatayo:
Utukufu wa Mungu uliokuwa ukiwafunika ulitoweka
Wakajijua kuwa wako uchi
Wakatafuta mavazi yao wenyewe ili kuficha uchi wao
Mwanzo 3:8
Uhusiano/urafiki wao na Mungu uliharibika. Mungu akawa adui yao.
Wakaingiwa hofu
Wakamkimbia Mungu na kujificha.
Mwanzo 3: 9-16
Laana na maelekezo mapya yanatolewa
Fungu la 17-19
Visingizio vya Adam havikuepusha adhabu
Ardhi ikalaaniwa
Kama matokeo ya laana, miiba na mimeo mimgine yenye sumu ilitokea
Laana ya KIFO ikatangazwa. “Wewe ni mavumbi na mavumbini utarudi”
NANI MKWELI? MUNGU AU SHETANI?
Mwanzo 2:16,17
Siku utakapokula matunda ya mti huo, UTAKUFA HAKIKA (kinyume cha uumbaji)
Mwanzo 3:4
HAKIKA HAMTAKUFA
NB: Kifo ni kitendo cha kufikia mwisho wa uhai
Je, baada ya kula tunda walilokatazwa, ni nini kilitokea?
Walipewa maelekezo mapya na hatimaye walifukuzwa.
Tukio la kwanza la kifo katika historia ya mwanadam, ni la Habili
Mwanzo: 4:1-7
Maneno aliyosema Shetani yaliweka msingi wa kile kinachojulikana leo kama IMANI YA MIZIMU.
IMANI YA MIZIMU ni mfumo wa imani au desturi ya kidini iliyojengwa juu ya kile kinachodhaniwa kuwa ni mawasiliano na roho za wafu. Falsafa yake ni kuwa roho ni kitu kinachoishi kwa kujitegemea nje ya mwili. Spiritualism, Oxford American Dictionary: Standard English-Swahili Dictionary 1997 Ed uk 524
UKWELI KUHUSU ROHO.
Kwa lugha ya kiingereza kuna maneno mawili tofauti yenye neno moja la kiswahili ambayo hayafanani maana.
Soul
Spirit
Yote yana neno moja la kiswahili. ROHO
Wengi huamini roho ni kitu fulani kisichoonekana ambacho pia hakifi (immortal) kinachoishi ndani yetu. Hivyo huamini mtu akifa, hiki kitu hutoka na huendelea kuishi nje ya mwili.
Kumbuka biblia imeandikwa kwa mara ya kwanza kabisa kwa kutumia lugha ya kiebrania na kigiriki (kiyunani). Mahali walipokuwa wakitaja ROHO (SOUL), walitumia neno la kiebrania ne’phesh au la kiyunani psy’khe’.
Haya maneno yamejitokeza kwenye maandiko zaidi ya mara 800 na walioitafsiri biblia wamekuwa wakitumia moja kwa moja kwenye aya au wakiweka kwenye tafsiri ndogo chini (rejea) (footnotes).
Kibiblia, neno roho (Soul) linapotumika kwenye maandiko humaanisha
watu/mtu (people)
Wanyama (animals)
Uhai (life) ambao mtu anao
Soul (watu)
1 Petro 3:20 ambamo ndani yake wachache, yaani, watu wanane, waliokoka kwa maji. (A few people that is, eight souls, were carried safely through the water.
Kutoka 16:16 (according to the number of people (souls, footnotes)
Mwanzo 46:18, Joshua 11:11, Matendo 27:37 na Warumi 13:1 (aya zote hutumia neno souls (kwenye footnotes).
Saul (Wanyama)
Mwanzo 1:20 viumbe hai, Living creatures (soul, footnotes)
Mwanzo 9:10, Walawi 11:46, Hesabu 31:28 zote kuna maneno sauls (footnotes) ikimaanisha wanyama.
Soul (uhai wa mtu) life of a person.
Kutoka 4:19 .....waliokutaka uhai wako wamekwishakufa (“seeking your soul” footnotes)
Mwanzo 35:16-19 roho yake ikiwa inamtoka (“her soul was going out” footnotes)
Yohana 10:11 Mchungaji mwema huutoa uhai wake kwa ajili ya kondoo (the fone shepherd surrenders his life (soul, footnote) in behalf of the sheep.
1 Wafalme 17:17-23, Mathayo 10:39, John 15:13, Matendo 20:10
Uhai wa mtu hutumiwa na biblia kama roho wa mtu (life of a person).
Hakuna sehemu yoyote wala fungu lolote katika biblia nzima inayoonesha kuwa roho (SOUL) haifi. Ila, biblia husema, roho (soul) inakufa. Ezekiel 18:4,20. Hivyo biblia husema mtu aliyekufa ni roho iliyokufa (dead soul) Walawi 21:11
ROHO PUMZI (SPIRIT)
Watu wengi hudhani roho (Spirit) ni neno sawa tu na roho (Soul).
Haya maneno ni tofauti kabisa japo kwa kiswahili ni neno moja.
Kwa kiebrania, neno roho (spirit) ni ru’ach au kwa kiyunani pneu’ma.
Biblia yenyewe inasema ni nini maana ya hili neno.
Kwa mfano, Zaburi 104:29 ....waiondoa pumzi yao, wanakufa. If you (Yehovah) take away their spirit (ru’ach) they die and return to the dust.
Yakobo 2:26 ....mwili pasipo roho (pneu’ma) umekufa. Without spirit, the body is dead.
Kiebrania, neno ru’ach inatafsiriwa sio tu kama pumzi (roho) bali pia kama nguvu (nguvu) (life force). Kwa mfano wakati wa gharika, Mwanzo 6:17, 7:15,22 .......niharibu kila kitu chenye mwili na pumzi ya uhai, all the flesh that has the breath (ru’ach) of life.
Pumzi ya uhai ndiyo roho ambayo ni spirit sawa na ru’ach.
Mwili bila pumzi ni sawa na radio pasipo umeme.
MAHALI PEMA PEPONI
Kuna desturi mbalimbali kuhusu mazishi ya waliokufa.
Funeral Customs, World Book, Encyclopedia, F, Vol 7, 1965 ed,. Uk 482, 483
Mtu akifa, utukufu hautamfuata. Zaburi: 49:16,17
Kuzimu ni nini na ni wapi?
Ni kaburini. Zaburi 30:3. 89:48 na Mwanzo 37:35
Peponi ni wapi?
Ni paradiso, makao ya waliokombolewa watakapoishi baada ya ufufuo. Lika 23:43
Roho ni nini? (Spirit)
Ni pumzi ya uhai. Mwanzo 2:7 Ayubu 27:3 Zaburi 146:4 Mhubiri 12:7
Nafsi/mtu kamili Ezekiel 7:19 18:20, Ufunuo 6:9-11
Roho wa Mungu Isaya 63:10, 1 korintho 2:10,11
Karibu sana msomaji wangu, tujifunze kuhusu mada hii muhimu ambayo wengine wameipotosha kwa hadithi zao wenyewe na kuliacha neno la Mungu kando.
Ukiwa unasoma neno hili, ni muhimu sana uwe na biblia yako pembeni, ili ujiridhishe kwa yale niliyoyaandika hapa.
Kuna nadharia nyingi sana kuhusu kifo. Zingine zimeletwa humu JF na watu werevu, lakini bahati mbaya, hizo zote ni hadithi tu zisizo na msingi wa neno la Mungu.
Hebu tuanze pamoja.
Kaa na biblia yako karibu.
Uumbaji: Mwanzo 1;1-23 siku tano Mungu anaumba mtu.
Halafu pia kuna aina mbili za uumbaji
Kutamka ikawa (aya ya 24&25)
Kufinyanga (26&27)
Kwa upekee wa mwanadam, Mungu anaelezea zaidi ilivyokuwa katika Mwanzo 2:7, 21-23
Baada ya kumuumba mtu, mbingu na nchi zikamalizika, na jeshi lake lote. Mwanzo 2:1-2
Kuna maneno makuu 3 ya msingi (kamusi ya TUKI 2004)
Uhai; ni kitu kinachowezesha kiumbe kuishi kwa kuendesha shughuli zake za kiwiliwili; kinyume cha ufu.
Kifo; ni tukio au tendo la kufikia mwisho wa uhai; mauti.
Mauti; ni hali inayomfanya kiumbe kukosa uhai
Kifo ni nini basi? Kifo ni kinyume cha kuumba.
Vitu vilivyotumika kumuumba mtu ni
Udongo (mavumbi ya ardhi)
Pumzi ya uhai
Mungu ndiye muumbaji.
Je, kifo kilisababishwa na nini?
Mwanzo 2:16,17 Mungu anampa Adam maelekezo ili asife
Mwanzo 3:1-6 Anguko la Adam na Hawa
Ufunuo 12:7-9 Nyoka ni Shetani
Ni nini kilitokea baada ya kuasi?
Mwanzo 3:7
Yalitokea yafuatayo:
Utukufu wa Mungu uliokuwa ukiwafunika ulitoweka
Wakajijua kuwa wako uchi
Wakatafuta mavazi yao wenyewe ili kuficha uchi wao
Mwanzo 3:8
Uhusiano/urafiki wao na Mungu uliharibika. Mungu akawa adui yao.
Wakaingiwa hofu
Wakamkimbia Mungu na kujificha.
Mwanzo 3: 9-16
Laana na maelekezo mapya yanatolewa
Fungu la 17-19
Visingizio vya Adam havikuepusha adhabu
Ardhi ikalaaniwa
Kama matokeo ya laana, miiba na mimeo mimgine yenye sumu ilitokea
Laana ya KIFO ikatangazwa. “Wewe ni mavumbi na mavumbini utarudi”
NANI MKWELI? MUNGU AU SHETANI?
Mwanzo 2:16,17
Siku utakapokula matunda ya mti huo, UTAKUFA HAKIKA (kinyume cha uumbaji)
Mwanzo 3:4
HAKIKA HAMTAKUFA
NB: Kifo ni kitendo cha kufikia mwisho wa uhai
Je, baada ya kula tunda walilokatazwa, ni nini kilitokea?
Walipewa maelekezo mapya na hatimaye walifukuzwa.
Tukio la kwanza la kifo katika historia ya mwanadam, ni la Habili
Mwanzo: 4:1-7
Maneno aliyosema Shetani yaliweka msingi wa kile kinachojulikana leo kama IMANI YA MIZIMU.
IMANI YA MIZIMU ni mfumo wa imani au desturi ya kidini iliyojengwa juu ya kile kinachodhaniwa kuwa ni mawasiliano na roho za wafu. Falsafa yake ni kuwa roho ni kitu kinachoishi kwa kujitegemea nje ya mwili. Spiritualism, Oxford American Dictionary: Standard English-Swahili Dictionary 1997 Ed uk 524
UKWELI KUHUSU ROHO.
Kwa lugha ya kiingereza kuna maneno mawili tofauti yenye neno moja la kiswahili ambayo hayafanani maana.
Soul
Spirit
Yote yana neno moja la kiswahili. ROHO
Wengi huamini roho ni kitu fulani kisichoonekana ambacho pia hakifi (immortal) kinachoishi ndani yetu. Hivyo huamini mtu akifa, hiki kitu hutoka na huendelea kuishi nje ya mwili.
Kumbuka biblia imeandikwa kwa mara ya kwanza kabisa kwa kutumia lugha ya kiebrania na kigiriki (kiyunani). Mahali walipokuwa wakitaja ROHO (SOUL), walitumia neno la kiebrania ne’phesh au la kiyunani psy’khe’.
Haya maneno yamejitokeza kwenye maandiko zaidi ya mara 800 na walioitafsiri biblia wamekuwa wakitumia moja kwa moja kwenye aya au wakiweka kwenye tafsiri ndogo chini (rejea) (footnotes).
Kibiblia, neno roho (Soul) linapotumika kwenye maandiko humaanisha
watu/mtu (people)
Wanyama (animals)
Uhai (life) ambao mtu anao
Soul (watu)
1 Petro 3:20 ambamo ndani yake wachache, yaani, watu wanane, waliokoka kwa maji. (A few people that is, eight souls, were carried safely through the water.
Kutoka 16:16 (according to the number of people (souls, footnotes)
Mwanzo 46:18, Joshua 11:11, Matendo 27:37 na Warumi 13:1 (aya zote hutumia neno souls (kwenye footnotes).
Saul (Wanyama)
Mwanzo 1:20 viumbe hai, Living creatures (soul, footnotes)
Mwanzo 9:10, Walawi 11:46, Hesabu 31:28 zote kuna maneno sauls (footnotes) ikimaanisha wanyama.
Soul (uhai wa mtu) life of a person.
Kutoka 4:19 .....waliokutaka uhai wako wamekwishakufa (“seeking your soul” footnotes)
Mwanzo 35:16-19 roho yake ikiwa inamtoka (“her soul was going out” footnotes)
Yohana 10:11 Mchungaji mwema huutoa uhai wake kwa ajili ya kondoo (the fone shepherd surrenders his life (soul, footnote) in behalf of the sheep.
1 Wafalme 17:17-23, Mathayo 10:39, John 15:13, Matendo 20:10
Uhai wa mtu hutumiwa na biblia kama roho wa mtu (life of a person).
Hakuna sehemu yoyote wala fungu lolote katika biblia nzima inayoonesha kuwa roho (SOUL) haifi. Ila, biblia husema, roho (soul) inakufa. Ezekiel 18:4,20. Hivyo biblia husema mtu aliyekufa ni roho iliyokufa (dead soul) Walawi 21:11
ROHO PUMZI (SPIRIT)
Watu wengi hudhani roho (Spirit) ni neno sawa tu na roho (Soul).
Haya maneno ni tofauti kabisa japo kwa kiswahili ni neno moja.
Kwa kiebrania, neno roho (spirit) ni ru’ach au kwa kiyunani pneu’ma.
Biblia yenyewe inasema ni nini maana ya hili neno.
Kwa mfano, Zaburi 104:29 ....waiondoa pumzi yao, wanakufa. If you (Yehovah) take away their spirit (ru’ach) they die and return to the dust.
Yakobo 2:26 ....mwili pasipo roho (pneu’ma) umekufa. Without spirit, the body is dead.
Kiebrania, neno ru’ach inatafsiriwa sio tu kama pumzi (roho) bali pia kama nguvu (nguvu) (life force). Kwa mfano wakati wa gharika, Mwanzo 6:17, 7:15,22 .......niharibu kila kitu chenye mwili na pumzi ya uhai, all the flesh that has the breath (ru’ach) of life.
Pumzi ya uhai ndiyo roho ambayo ni spirit sawa na ru’ach.
Mwili bila pumzi ni sawa na radio pasipo umeme.
MAHALI PEMA PEPONI
Kuna desturi mbalimbali kuhusu mazishi ya waliokufa.
Funeral Customs, World Book, Encyclopedia, F, Vol 7, 1965 ed,. Uk 482, 483
Mtu akifa, utukufu hautamfuata. Zaburi: 49:16,17
Kuzimu ni nini na ni wapi?
Ni kaburini. Zaburi 30:3. 89:48 na Mwanzo 37:35
Peponi ni wapi?
Ni paradiso, makao ya waliokombolewa watakapoishi baada ya ufufuo. Lika 23:43
Roho ni nini? (Spirit)
Ni pumzi ya uhai. Mwanzo 2:7 Ayubu 27:3 Zaburi 146:4 Mhubiri 12:7
Nafsi/mtu kamili Ezekiel 7:19 18:20, Ufunuo 6:9-11
Roho wa Mungu Isaya 63:10, 1 korintho 2:10,11