Wafu Walio Hai

Wafu Walio Hai

MHUBIRI 9

4 Kwa sababu hii ni kwa ajili ya yeye aliyeambatana na wote walio hai; (Maana ni nani aliye hai kuliko nguvu aliyekufa);

5 kwa sababu walio hai wanajua kwamba watakufa; Lakini wafu hawajui neno lolote, wala hawana ijara tena; Maana kumbukumbu yake limesahauliwa.

6 Mapenzi yao na machukio yao, na huchuda yao, imepotea pamoja; Wala hawana sehemu tena katika jambo lolote lililofanyika chini ya jua.

MSHANA jr hebu jibu swali hilo km wewe unajua roho zinaendae juu au chini?
Wafu hawana IJARA CHINI YA JUA. JE IJARA NI NINI?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MHUBIRI 9

4 Kwa sababu hii ni kwa ajili ya yeye aliyeambatana na wote walio hai; (Maana ni nani aliye hai kuliko nguvu aliyekufa);

5 kwa sababu walio hai wanajua kwamba watakufa; Lakini wafu hawajui neno lolote, wala hawana ijara tena; Maana kumbukumbu yake limesahauliwa.

6 Mapenzi yao na machukio yao, na huchuda yao, imepotea pamoja; Wala hawana sehemu tena katika jambo lolote lililofanyika chini ya jua.

MSHANA jr hebu jibu swali hilo km wewe unajua roho zinaendae juu au chini?
Wafu hawana IJARA CHINI YA JUA. JE IJARA NI NINI?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ijara ni sawa na utashi ama haki ama ufahamu, kumbuka hii ni kwa muktadha wa mwili uharibikao na sio roho isiyokufa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
zamani ukipita kwenye kaburi hadi miguu inaganda, au unaweza kimbia lakini uaona ufiki siku hizi tunakatiza tu .. hivi mtani kulikuwa na nini?
 
Maswali yako yote yana mada zilizojitosheleza kabisa nitakutag moja baada ya nyingine

Sent using Jamii Forums mobile app

Habari kaka mshana jr. Mimi nina jambo nataka unisaidie kuna wakati naota nikiwa nimekaa na viongozi wakuu wa nchi waliopo hata wale waliokufa wakati mwingine wanakuja nyumbani kwetu nakuwa nazungumza nao mbele ya wazazi wangu lakini nakuwa sielewi nikitu gani. Naomba angalau unisaidie kwa hilo
 
Habari kaka mshana jr. Mimi nina jambo nataka unisaidie kuna wakati naota nikiwa nimekaa na viongozi wakuu wa nchi waliopo hata wale waliokufa wakati mwingine wanakuja nyumbani kwetu nakuwa nazungumza nao mbele ya wazazi wangu lakini nakuwa sielewi nikitu gani. Naomba angalau unisaidie kwa hilo
Ni ishara ya kuja kufanya Mambo makubwa maishani japo mengine hayatatimia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom