Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,527
- 830,085
- Thread starter
- #41
Ijara ni sawa na utashi ama haki ama ufahamu, kumbuka hii ni kwa muktadha wa mwili uharibikao na sio roho isiyokufaMHUBIRI 9
4 Kwa sababu hii ni kwa ajili ya yeye aliyeambatana na wote walio hai; (Maana ni nani aliye hai kuliko nguvu aliyekufa);
5 kwa sababu walio hai wanajua kwamba watakufa; Lakini wafu hawajui neno lolote, wala hawana ijara tena; Maana kumbukumbu yake limesahauliwa.
6 Mapenzi yao na machukio yao, na huchuda yao, imepotea pamoja; Wala hawana sehemu tena katika jambo lolote lililofanyika chini ya jua.
MSHANA jr hebu jibu swali hilo km wewe unajua roho zinaendae juu au chini?
Wafu hawana IJARA CHINI YA JUA. JE IJARA NI NINI?
Sent using Jamii Forums mobile app
Muda huu ni saa 3:15am, Nimejikuta nacheka na kuwashitua walio lala.Hapa utakuwa unakisema chama cha mapinduzi mkuu
Muda huu ni saa 3:15am, Nimejikuta nacheka na kuwashitua walio lala.
Kwa nini umefikiria hivi?
Nacho ni mfuMuda huu ni saa 3:15am, Nimejikuta nacheka na kuwashitua walio lala.
Kwa nini umefikiria hivi?
nilimuacha maana tulikokuwa tunaelekea ungatokea ugomvi tulikuwa kama wanaume watatu kila mmoja anasema demu wangu ila ukienda kumuuliza personal hanawakana wengine na mwingine akiuliza kuhusu mimi ananikana tena.
Fikra za wafu siku hizi vifo vimezoeleka BTW long time no see you hujambo?zamani ukipita kwenye kaburi hadi miguu inaganda, au unaweza kimbia lakini uaona ufiki siku hizi tunakatiza tu .. hivi mtani kulikuwa na nini?
sijambo mtani za kwako?Fikra za wafu siku hizi vifo vimezoeleka BTW long time no see you hujambo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Maswali yako yote yana mada zilizojitosheleza kabisa nitakutag moja baada ya nyingine
Sent using Jamii Forums mobile app
all the time
Ni ishara ya kuja kufanya Mambo makubwa maishani japo mengine hayatatimiaHabari kaka mshana jr. Mimi nina jambo nataka unisaidie kuna wakati naota nikiwa nimekaa na viongozi wakuu wa nchi waliopo hata wale waliokufa wakati mwingine wanakuja nyumbani kwetu nakuwa nazungumza nao mbele ya wazazi wangu lakini nakuwa sielewi nikitu gani. Naomba angalau unisaidie kwa hilo
Ni ishara ya kuja kufanya Mambo makubwa maishani japo mengine hayatatimia
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo roho inaishi sio na km inaishi, inaishi wapi baada ya mtu kufa?Ijara ni sawa na utashi ama haki ama ufahamu, kumbuka hii ni kwa muktadha wa mwili uharibikao na sio roho isiyokufa
Sent using Jamii Forums mobile app
Usiwe na haraka na point iko hapa.... Wakishindwa wanakuitaL
Lakini kaka napitia hali ngumu sana ya maisha hata familia hainishirikishi katika maamuzi lakini wakishindwa ndo wananiita
Roho sio kitu solid, roho ni energyKwa hiyo roho inaishi sio na km inaishi, inaishi wapi baada ya mtu kufa?
Sent using Jamii Forums mobile app