Wafu Walio Hai

Wafu Walio Hai

Nilifiwa na mtu wangu wa karibu miaka mingi tuu imepita msiba ule ulikaa wiki tukisubiri kuzika. Siku ya nne tangu msiba utokee usiku niliota amenijia nilipo lala na akaniambia kitu ambacho anakiona kwangu na sikuwa nimemwambia mtu yeyote kuhusu hicho kitu yaani hakuna aliyekuwa anajua. Na kabla hajafa hatukuwahi kuongea nae kuhusu hilo jambo wala linalofanania na hilo na wala yeye hakuwa anahusika au kuwa na ujuzi wa hayo mambo. Kulipo kucha niliogopa sana nikajiuliza inamaana marehemu ameniona yaani kwenye ulimwengu wa roho amejua kilichonikumba/kilichonisibu. Basi nikajua ni roho yake ndo iliongea na nafsi yangu kwenye ulimwengu wa roho.

Kingine kuna mtu wangu wa karibu nae amekufa siku nyingi pia alikuwa akiniasa na kunifundisha mambo mengi mno ya maisha. Huyu alikuwa kila akimaliza kuniasa au kunielekeza jambo humalizia na msemo...."mtanikumbuka kwenye maisha yenu hata nikifa mtanikumbuka haya niwaambiayo. ...." hadi niandikapo hapa sauti yake bado naisikia masikioni mwangu kana kwamba nimekaa nae hapa mezani tunazungumzia jambo.

Asante mshana jr kunifikirisha na kunikumbusha zamani.

Michyuuuu.
Mich you Kasie ulikuwa wapi!? Hope you good... Haya mambo yapo lakini ni mpaka yakutokee kwa hakika ndio utaona sio uzushi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaweza kudhani najichanganya sasa kwa post zangu mwenyewe! La hasha kuna kitu tofauti kabisa kwenye hii mada
Nazungumzia wale wapendwa wetu walitwaliwa kutoka maisha haya lakini unahisia za ukaribu kabisa kuwa hawako mbali nasi, na kuna wakati tukiwa pekeyetu tunahisi kabisa tuko nao pamoja, ni experience ya ajabu na ni tofauti kabisa na ndoto za usiku
Inawezekana kabisa ni hallucinations lakini kwanini itokee kwa hawa baadhi tu na si wengine wote? Je ni kweli wamekufa ama wapo hai kwa namna nyingine? Kwakuwa zile hisia za uwepo wao huwa halisi kupita kawaida
Mara nyingi huwa ni wazazi ndugu watoto jamaa marafiki na hata majirani, sometimes ni watu ambao wala hatukuwa na ukaribu nao lakini tulifahamiana... Kifo kina siri nyingi na hii ni mmojawapo.... Wafu walio hai
Usuwaze kuwa kafaje, usiwaze ushirikina wala misukule, wengine hufa vifo vya kawaida kabisa tena baada ya kuugua muda mrefu......
Maajabu ni mengi dhana ni nyingi kwenye hili lakini moja linaloweza kuwa na hakika zaidi ni mawasiliano ya kiroho yaliyopo kati ya Wafu na walio hai
Jihadhari usibebebwe na dhana potofu unapokumbana na hiyo hali kisha ukawasimulia walimwengu watakaokuja na dhana za misukule! Ama kurogwa! Jihadhari sana! Mawasiliano ya wafu na walio hai ni mengi na hutokea kwa namna tofauti tofauti.... Ni kila kitu ni uchawi ... Vingine ni asili ambavyo ufahamu wa kibinadamu haujavipatia majibu yote.... Wafu waishio ni mfano hai na halisi
525f20d9e80344aaa91d1f6deb561a30.jpg

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaweza kudhani najichanganya sasa kwa post zangu mwenyewe! La hasha kuna kitu tofauti kabisa kwenye hii mada
Nazungumzia wale wapendwa wetu walitwaliwa kutoka maisha haya lakini unahisia za ukaribu kabisa kuwa hawako mbali nasi, na kuna wakati tukiwa pekeyetu tunahisi kabisa tuko nao pamoja, ni experience ya ajabu na ni tofauti kabisa na ndoto za usiku
Inawezekana kabisa ni hallucinations lakini kwanini itokee kwa hawa baadhi tu na si wengine wote? Je ni kweli wamekufa ama wapo hai kwa namna nyingine? Kwakuwa zile hisia za uwepo wao huwa halisi kupita kawaida
Mara nyingi huwa ni wazazi ndugu watoto jamaa marafiki na hata majirani, sometimes ni watu ambao wala hatukuwa na ukaribu nao lakini tulifahamiana... Kifo kina siri nyingi na hii ni mmojawapo.... Wafu walio hai
Usuwaze kuwa kafaje, usiwaze ushirikina wala misukule, wengine hufa vifo vya kawaida kabisa tena baada ya kuugua muda mrefu......
Maajabu ni mengi dhana ni nyingi kwenye hili lakini moja linaloweza kuwa na hakika zaidi ni mawasiliano ya kiroho yaliyopo kati ya Wafu na walio hai
Jihadhari usibebebwe na dhana potofu unapokumbana na hiyo hali kisha ukawasimulia walimwengu watakaokuja na dhana za misukule! Ama kurogwa! Jihadhari sana! Mawasiliano ya wafu na walio hai ni mengi na hutokea kwa namna tofauti tofauti.... Ni kila kitu ni uchawi ... Vingine ni asili ambavyo ufahamu wa kibinadamu haujavipatia majibu yote.... Wafu waishio ni mfano hai na halisi
525f20d9e80344aaa91d1f6deb561a30.jpg

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaweza kudhani najichanganya sasa kwa post zangu mwenyewe! La hasha kuna kitu tofauti kabisa kwenye hii mada
Nazungumzia wale wapendwa wetu walitwaliwa kutoka maisha haya lakini unahisia za ukaribu kabisa kuwa hawako mbali nasi, na kuna wakati tukiwa pekeyetu tunahisi kabisa tuko nao pamoja, ni experience ya ajabu na ni tofauti kabisa na ndoto za usiku
Inawezekana kabisa ni hallucinations lakini kwanini itokee kwa hawa baadhi tu na si wengine wote? Je ni kweli wamekufa ama wapo hai kwa namna nyingine? Kwakuwa zile hisia za uwepo wao huwa halisi kupita kawaida
Mara nyingi huwa ni wazazi ndugu watoto jamaa marafiki na hata majirani, sometimes ni watu ambao wala hatukuwa na ukaribu nao lakini tulifahamiana... Kifo kina siri nyingi na hii ni mmojawapo.... Wafu walio hai
Usuwaze kuwa kafaje, usiwaze ushirikina wala misukule, wengine hufa vifo vya kawaida kabisa tena baada ya kuugua muda mrefu......
Maajabu ni mengi dhana ni nyingi kwenye hili lakini moja linaloweza kuwa na hakika zaidi ni mawasiliano ya kiroho yaliyopo kati ya Wafu na walio hai
Jihadhari usibebebwe na dhana potofu unapokumbana na hiyo hali kisha ukawasimulia walimwengu watakaokuja na dhana za misukule! Ama kurogwa! Jihadhari sana! Mawasiliano ya wafu na walio hai ni mengi na hutokea kwa namna tofauti tofauti.... Ni kila kitu ni uchawi ... Vingine ni asili ambavyo ufahamu wa kibinadamu haujavipatia majibu yote.... Wafu waishio ni mfano hai na halisi
525f20d9e80344aaa91d1f6deb561a30.jpg

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaweza kudhani najichanganya sasa kwa post zangu mwenyewe! La hasha kuna kitu tofauti kabisa kwenye hii mada
Nazungumzia wale wapendwa wetu walitwaliwa kutoka maisha haya lakini unahisia za ukaribu kabisa kuwa hawako mbali nasi, na kuna wakati tukiwa pekeyetu tunahisi kabisa tuko nao pamoja, ni experience ya ajabu na ni tofauti kabisa na ndoto za usiku
Inawezekana kabisa ni hallucinations lakini kwanini itokee kwa hawa baadhi tu na si wengine wote? Je ni kweli wamekufa ama wapo hai kwa namna nyingine? Kwakuwa zile hisia za uwepo wao huwa halisi kupita kawaida
Mara nyingi huwa ni wazazi ndugu watoto jamaa marafiki na hata majirani, sometimes ni watu ambao wala hatukuwa na ukaribu nao lakini tulifahamiana... Kifo kina siri nyingi na hii ni mmojawapo.... Wafu walio hai
Usuwaze kuwa kafaje, usiwaze ushirikina wala misukule, wengine hufa vifo vya kawaida kabisa tena baada ya kuugua muda mrefu......
Maajabu ni mengi dhana ni nyingi kwenye hili lakini moja linaloweza kuwa na hakika zaidi ni mawasiliano ya kiroho yaliyopo kati ya Wafu na walio hai
Jihadhari usibebebwe na dhana potofu unapokumbana na hiyo hali kisha ukawasimulia walimwengu watakaokuja na dhana za misukule! Ama kurogwa! Jihadhari sana! Mawasiliano ya wafu na walio hai ni mengi na hutokea kwa namna tofauti tofauti.... Ni kila kitu ni uchawi ... Vingine ni asili ambavyo ufahamu wa kibinadamu haujavipatia majibu yote.... Wafu waishio ni mfano hai na halisi
525f20d9e80344aaa91d1f6deb561a30.jpg

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yale mawazo,ya kuwaza usingizin ndo huwa ndoto,lakin ikiwa ndoto kamwe haiwezi ikawa ndo mambo ya kweli.

Na kwa hili shetani kawateka watu mpk wasomi km MSHANA jr.

Swali kwani mtu akifa ROHO yake uenda wapi?

Je,kuna tofauti ipi kati ya ROHO,NAFSI,PUMZI YA UHAI?

NA MTU AKIFA UENDA WAPI? JE,KUNA MAHALI ANAENDA KUISHI,KISHA AKITAKA KUJA HUKU KWA JAMAA YAKE ANAKUJA KUWATOKEZEA,TENA?
NO BODY.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yale mawazo,ya kuwaza usingizin ndo huwa ndoto,lakin ikiwa ndoto kamwe haiwezi ikawa ndo mambo ya kweli.

Na kwa hili shetani kawateka watu mpk wasomi km MSHANA jr.

Swali kwani mtu akifa ROHO yake uenda wapi?

Je,kuna tofauti ipi kati ya ROHO,NAFSI,PUMZI YA UHAI?

NA MTU AKIFA UENDA WAPI? JE,KUNA MAHALI ANAENDA KUISHI,KISHA AKITAKA KUJA HUKU KWA JAMAA YAKE ANAKUJA KUWATOKEZEA,TENA?
NO BODY.


Sent using Jamii Forums mobile app
mshana jr jibu swali hili?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kuna siku nikiwa nimelala ndoto nikaona kama marehemu baba kwa upole na unyenyekevu akinishauri mwanangu sikukatazi kuwa na msichana ila huyo uliyenae sasa achana nae. hili lilinipa maswali sana maana yule demu kimsingi akitongozwa kukataa ilikuwa ngumu na pia alikuwa na tabia ya kuanguka anguka karibu kila mwezi. huenda unachosema kina ukweli mshana jr
 
Yale mawazo,ya kuwaza usingizin ndo huwa ndoto,lakin ikiwa ndoto kamwe haiwezi ikawa ndo mambo ya kweli.

Na kwa hili shetani kawateka watu mpk wasomi km MSHANA jr.

Swali kwani mtu akifa ROHO yake uenda wapi?

Je,kuna tofauti ipi kati ya ROHO,NAFSI,PUMZI YA UHAI?

NA MTU AKIFA UENDA WAPI? JE,KUNA MAHALI ANAENDA KUISHI,KISHA AKITAKA KUJA HUKU KWA JAMAA YAKE ANAKUJA KUWATOKEZEA,TENA?
NO BODY.


Sent using Jamii Forums mobile app
Maswali yako yote yana mada zilizojitosheleza kabisa nitakutag moja baada ya nyingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kuna siku nikiwa nimelala ndoto nikaona kama marehemu baba kwa upole na unyenyekevu akinishauri mwanangu sikukatazi kuwa na msichana ila huyo uliyenae sasa achana nae. hili lilinipa maswali sana maana yule demu kimsingi akitongozwa kukataa ilikuwa ngumu na pia alikuwa na tabia ya kuanguka anguka karibu kila mwezi. huenda unachosema kina ukweli mshana jr
Vipi mkuu kadovela uliachana nae kweli au bado upo nae?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom