Baada ya wabunge kujifikiria wao wenyewe na kujiongezea posho,huku watumishi wengn wakbaki na maisha duni bila mtetezi je!
1.wogome actively
2.wagome passively
3.wazidi kusuburia.
Napendekeza 1 na 2!wewe je?[/QUO
answer=1
huyu mama hana hadhi ya bi kidude!jina zuri ni lipi sasa bi kiroboto au bi kidude? Nunge limekuwa linajitungia sheria zao tofauti na kutumikia umma inabidi katiba mpya itoe fursa ya wananchi kumtimua spika anaposhindwa majukumu yake
wagome kuchukua mishahara tuuu ila wafanyekazi usiku na mchana.........!