makoye2009
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,638
- 1,218
Ndugu wana JF,Ndugu wafanyakazi na wale wote wanaowategemea, kesho ndiyo siku tuliyokuwa tunaisubiri kwa hamu ya kumdhihirishia Kiwete kuwa Wafanyakazi si watu wa kubeza,kudharau,kutukana na kuwatisha hadharani. Kiwete ALIKATAA KURA ZETU KUWA HAZIHITAJI KWENDA IKULU maana hawezi kutulipa mshahara wa Tshs 350,000/=.Kesho lazima Mkwere tumshikishe adabu maana asiyefunzwa na mamaye atafunzwa na ulimwengu.
Tuko wafanyakazi zaidi ya 400,000. Kwa hesabu za haraka haraka kila mfanyakazi ana wategemezi wastani wa watu 10. Hivyo basi 400,000 x 10 ni sawa na KURA MILIONI 4. Hii inakaribia kama 25% ya wapiga kura wote. BADO WALALAHOI NA VIJANA WANAO KADIRIWA KAMA MILIONI 5+. Ukikokotoa hapa unakuta kwamba hesabu ya Wafanyakazi,Vijana +Walalahoi inakaribia kwenye MILIONI 9! JE, KWA IDADI HII YA KURA HATUJAMWEZESHA DR.SLAA KUTINGA IKULU ILI AANZE KUFANYA VITU VYAKE VYA KUTUPELEKA KWENYE TANZANIA YENYE NEEMA?
Jamani tusije tukajidhalilisha wenyewe hiyo kesho. Nitashangaa na kusikitika sana kama DR.SLAA HATAZIPATA KURA HIZI WALAU HATA 3/4 YAKE(about 7m+) . Shime wafanyakazi wenzangu,vijana,walalahoi na wapenda maendeleo wa nji hii.
CHAGUA DR.SLAA(DR. WA KWELI) KWA MABADILIKO YA KWELI.
Tuko wafanyakazi zaidi ya 400,000. Kwa hesabu za haraka haraka kila mfanyakazi ana wategemezi wastani wa watu 10. Hivyo basi 400,000 x 10 ni sawa na KURA MILIONI 4. Hii inakaribia kama 25% ya wapiga kura wote. BADO WALALAHOI NA VIJANA WANAO KADIRIWA KAMA MILIONI 5+. Ukikokotoa hapa unakuta kwamba hesabu ya Wafanyakazi,Vijana +Walalahoi inakaribia kwenye MILIONI 9! JE, KWA IDADI HII YA KURA HATUJAMWEZESHA DR.SLAA KUTINGA IKULU ILI AANZE KUFANYA VITU VYAKE VYA KUTUPELEKA KWENYE TANZANIA YENYE NEEMA?
Jamani tusije tukajidhalilisha wenyewe hiyo kesho. Nitashangaa na kusikitika sana kama DR.SLAA HATAZIPATA KURA HIZI WALAU HATA 3/4 YAKE(about 7m+) . Shime wafanyakazi wenzangu,vijana,walalahoi na wapenda maendeleo wa nji hii.
CHAGUA DR.SLAA(DR. WA KWELI) KWA MABADILIKO YA KWELI.