Wafanyakazi wote kesho 31.10.2010 ndiyo zamu yetu

makoye2009

JF-Expert Member
Jun 12, 2009
2,638
1,218
Ndugu wana JF,Ndugu wafanyakazi na wale wote wanaowategemea, kesho ndiyo siku tuliyokuwa tunaisubiri kwa hamu ya kumdhihirishia Kiwete kuwa Wafanyakazi si watu wa kubeza,kudharau,kutukana na kuwatisha hadharani. Kiwete ALIKATAA KURA ZETU KUWA HAZIHITAJI KWENDA IKULU maana hawezi kutulipa mshahara wa Tshs 350,000/=.Kesho lazima Mkwere tumshikishe adabu maana asiyefunzwa na mamaye atafunzwa na ulimwengu.

Tuko wafanyakazi zaidi ya 400,000. Kwa hesabu za haraka haraka kila mfanyakazi ana wategemezi wastani wa watu 10. Hivyo basi 400,000 x 10 ni sawa na KURA MILIONI 4. Hii inakaribia kama 25% ya wapiga kura wote. BADO WALALAHOI NA VIJANA WANAO KADIRIWA KAMA MILIONI 5+. Ukikokotoa hapa unakuta kwamba hesabu ya Wafanyakazi,Vijana +Walalahoi inakaribia kwenye MILIONI 9! JE, KWA IDADI HII YA KURA HATUJAMWEZESHA DR.SLAA KUTINGA IKULU ILI AANZE KUFANYA VITU VYAKE VYA KUTUPELEKA KWENYE TANZANIA YENYE NEEMA?

Jamani tusije tukajidhalilisha wenyewe hiyo kesho. Nitashangaa na kusikitika sana kama DR.SLAA HATAZIPATA KURA HIZI WALAU HATA 3/4 YAKE(about 7m+) . Shime wafanyakazi wenzangu,vijana,walalahoi na wapenda maendeleo wa nji hii.

CHAGUA DR.SLAA(DR. WA KWELI) KWA MABADILIKO YA KWELI.
 
Hilo ndo tunalolitegemea. kazi ya usiku wa leo ni kuendelea kuhimizana watu tukapige kura pamoja na wasaidizi na wategemezi wetu. Atajua kuwa wafanyakazi ni wa muhimu kwenye nchi hii
 
Ndugu wana JF,Ndugu wafanyakazi na wale wanawategemea kesho ndiyo siku tuliyokuwa tunaisubiri kwa hamu ya kudhihirishia Kiwete kuwa Wafanyakazi si watu wa kubeza,kudharau na kuwatisha hadharani. Kiwete ALIKATAA KURA ZETU KUWA HAZIHITAJI KWENDA IKULU maana hawezi kutulipa mshahara wa Tshs 350,000/=.

Tuko wafanyakazi zaidi ya 400,000. Kwa hesabu za haraka haraka kila mfanyakazi ana wategemezi wastani wa watu 10. Hivyo basi 400,000 x 10 ni sawa na KURA MILIONI 4. Hii inakaribia kama 25% ya wapiga kura wote. BADO WALALAHOI NA VIJANA WANAO KADIRIWA KAMA MILIONI 5+. Ukikokotoa hapa unakuta kwamba hesabu ya Wafanyakazi,Vijana +Walalahoi inakaribia kwenye MILIONI 9! JE, KWA IDADI HII YA KURA HATUJAMWEZESHA DR.SLAA KUTINGA IKULU ILI AANZE KUTANYA VIYU VYAKE KUTUPELEKA KWENYE TANZANIA YENYE NEEMA?

Jamani tusije tukajidhalilisha wenyewe hiyo kesho. Nitashangaa na kusikitika sana kama DR.SLAA HATAZIPATA KURA HIZI WALAU HATA 3/4 YAKE.

CHAGUA DR.SLAA(DR. WA KWELI) KWA MABADILIKO YA KWELI.

Its our turn. Jk alimaliza zamu yake siku ile alipotudharau na kutudhalilisha akiwa na wazee wa Dar (Sijui kati ya wale wazee nani ni mwajiriwa!). Tutamchagua Slaa akarekebishe mambo ikiwa ni pamoja na kupunguza mishahara ya wabunge na Rais
 
Ndugu wana JF,Ndugu wafanyakazi na wale wote wanaowategemea, kesho ndiyo siku tuliyokuwa tunaisubiri kwa hamu ya kumdhihirishia Kiwete kuwa Wafanyakazi si watu wa kubeza,kudharau,kutukana na kuwatisha hadharani. Kiwete ALIKATAA KURA ZETU KUWA HAZIHITAJI KWENDA IKULU maana hawezi kutulipa mshahara wa Tshs 350,000/=.Kesho lazima Mkwere tumshikishe adabu maana asiyefunzwa na mamaye atafunzwa na ulimwengu.

Tuko wafanyakazi zaidi ya 400,000. Kwa hesabu za haraka haraka kila mfanyakazi ana wategemezi wastani wa watu 10. Hivyo basi 400,000 x 10 ni sawa na KURA MILIONI 4. Hii inakaribia kama 25% ya wapiga kura wote. BADO WALALAHOI NA VIJANA WANAO KADIRIWA KAMA MILIONI 5+. Ukikokotoa hapa unakuta kwamba hesabu ya Wafanyakazi,Vijana +Walalahoi inakaribia kwenye MILIONI 9! JE, KWA IDADI HII YA KURA HATUJAMWEZESHA DR.SLAA KUTINGA IKULU ILI AANZE KUTANYA VIYU VYAKE KUTUPELEKA KWENYE TANZANIA YENYE NEEMA?

Jamani tusije tukajidhalilisha wenyewe hiyo kesho. Nitashangaa na kusikitika sana kama DR.SLAA HATAZIPATA KURA HIZI WALAU HATA 3/4 YAKE(about 7m+) . Shime wafanyakazi wenzangu,vijana,walalahoi na wapenda maendeleo wa nji hii.

CHAGUA DR.SLAA(DR. WA KWELI) KWA MABADILIKO YA KWELI.
Kuna kanuni za kiuhasibu zinaitwa conservatism/prudence. Yaani unaassume woote watapiga kura, halafu woote watapigia CCM hadi Kikwete. Na hao vijana pia. Kiuhalisia CHADEMA walianza kampeni vizuri saana ila hapa mwishoni upepo umegeuka.
 
Yaani nilisahau hili sie mbayuwayu wacha tukamuajiri rais wa awamu ya tano kwa manufaa yetu. Maani sie ndio waajiri wake. JK alisema yeye ndie mwajiri wetu na sie ndio mwajiri wake pia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom