dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,220
- 54,873
utakuta limeandika jitu zimaaa limefika mpaka digirii, Elimu, Elimu, Elimu
Hata ukiumia haisaidii. Pambana na ufukara wakoMimi hata sijaumia
Achana na mpumbavu huyoWe ni nani kwani? Hata usipoumia wataumia walioguswa
Rudi shule bwana mdogo ukafundishwe kuandika kwanza ndio urudi kutuambia unataka kusemaje...hii ajari inaonyesha hipo upande wa jicho la tatu.
[mention]Mshana Jr [/mention] labda hata tueleza.
pitapita zangu kwa wapenda uchawahi wanadai gari lilokimbizwa la magendo lilikuwa fiti kwenye dawa ,hata yoyote hawezi kulikamata.
nikaona bora kuweka hapa tujue
Kipindi hiki cha sayansi na teknolojia kubwa kweli maafisa wenye PHD zenu mnakimbizana na raia mtaani wakati zipo njia nyepesi tu za kufanya tracking na mkaweza kukamata wahalifu na kudhibiti magendo yote.hii ajari inaonyesha hipo upande wa jicho la tatu.
[mention]Mshana Jr [/mention] labda hata tueleza.
pitapita zangu kwa wapenda uchawahi wanadai gari lilokimbizwa la magendo lilikuwa fiti kwenye dawa ,hata yoyote hawezi kulikamata.
nikaona bora kuweka hapa tujue
Sio lazima uumie. Huna umuhimu kwa ndugu,jamaa na marafiki wa hao marehemu. Acha wenye msiba waumie nawe subiri wako ...Mimi hata sijaumia
PoaAchana na mume wangu huyo
Hii barabara ya kwetu ni mbaya kuliko. Hainiingii akilini watu kukimbiza gari kwenye barabara hii. Kwa nini hawakupiga simu polisi ili askari wa barabarani waisimamishe? Hii barabara ni hatari sana. Anyway tunajifunza kitu hapo. Tuwa makini. TRA msiwambie wafanyakazi wenu wakimbize magari. Hilo la kufukuzia magari waachieni polisi wanajua jinsi ya kuyakamata.Wafanyakazi watano wa Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA) kikosi kazi cha Fast Track wamefariki dunia kwa ajali ya gari aina ya Landcluser lililogonga kwa nyuma Lori aina Fuso. Walikuwa wakifukuzana na gari iliyodhaniwa kubeba magendo
Ajali hiyo imetokea leo Agosti 23, 2021 saa 11 alfajiri katika barabara ya Mbeya Tunduma eneo la Hanseketwa Wilaya ya Mbozi Mkoani Songwe.
Kaimu Meneja wa Forodha wa TRA wa Tunduma, Omary Mnzava amewataja watumishi watano wa mamlaka hiyo kikosi kazi cha fast track waliofariki ajalini leo asubuhi Jumatatu mkoani humo ni Azari Shifonike ambaye ni dereva, Joel Mitondwa, Saidi Buddy, Fahad Hassan na Benard Mashingi.
Gari walilokuwa wanalifukuza liliovetake gari la mbele yake na wao waka follow suit wakaona kuna gari mbele limekaribia wakarudi walikotoka ndipo wakagonga fuso kwa nyuma. Kwa vile walivyokuwa speed kubwa ndiyo ikatokea hivyo. Dereva wa fuso naye katestify.Mi sio trafiki, ila hawa jamaa wanaonekana walikua wana overtake wakakutana face to face.. maana wapo upande wa kulia.. yaan ugonge gari kwa nyuma uchakae hivo?
So na hayo magendo nayo yaligongwa au?hii ni hasara sana kwa wanafamilia hasa huyo dogo wa kipemba aisee 26 tu sometimes alikuwa field.Gari walilokuwa wanalifukuza liliovetake gari la mbele yake na wao waka follow suit wakaona kuna gari mbele limekaribia wakarudi walikotoka ndipo wakagonga fuso kwa nyuma. Kwa vile walivyokuwa speed kubwa ndiyo ikatokea hivyo. Dereva wa fuso naye katestify.
Wewe ni mfanyakazi wa TRA niniKusikia tunasikia mengi sana ya watu kama wanavyosikia mengi yetu wengine
Kama tusivyopenda kuhukumiwa basi na sisisisi tusihukumu
HapanaWewe ni mfanyakazi wa TRA nini
Asante mkuu na wewe pia!