ipyax
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 4,040
- 6,291
Hii lazima ilikua ni kamati ya mambo ya asiliHii ajali ya ajabu aisee! Sasa inakuwaje dereva anagonga gari kwa nyuma alikuwa haoni ama ni mambo ya mzizioloji ?
Hii lazima ilikua ni kamati ya mambo ya asiliHii ajali ya ajabu aisee! Sasa inakuwaje dereva anagonga gari kwa nyuma alikuwa haoni ama ni mambo ya mzizioloji ?
Mkuu Walichokua wanafanya ni moja ya jukumu lao la msingi la kazi waliyoomba.Kwani unafiri hawajui majukumu yao mkuu, hapo kulikuwa na ulaji ndo maana wakaamua kulivalia njuga wenyewe.
Ila hio gari kwa mtazamo tu ni kuwa imeliwa kushoto na eneo lililolika ni kofia so imevuka bonnet ikala kofia yote upande wa kushoto mpaka mlango wa nyuma😅!Hawa jamaa walikua wanakimbiza gari yenye mzigo wa magendo, mwenye hio gari aliovertake hilo lori kukawa na lori lingine linakuja face to face (mwenye magendo) akafanikiwa kulipita hilo lori, hii cruiser ikashindwa kupita maana lori lingine lilikua karibu tayari ikabidi jamaa apige hili lori kwa nyuma ndo akazama uvunguni..ila yote kwa yote hata tusemaje ndugu zetu hawa hawawezi kurudi tenda...pumzika kwa Amani mwanangu Saidi Buddy....jamaa alikua mwana kichizi....
Tunaweza kubishana sana lakini ukweli unabaki pale pale, magari ni mabovu ni hatari kwa watumiaji wengine, barabara zisiwe garageGari ikiharibika unaita breakdown..inaelekea hujawahi pata shida barabarani wewe...na inawezekana kulikua na hitilafu ndogo tu..au ni neglegensi ya huyo dereva wa TRA..Akakanyaga kibati bila kukadiria braking distansi...uwapo barabarani whatever the speed ur driving ni lazima uwe na tahadhari..jiulize "what if" kwenye kila kitendo unachokifanya barabarani.
Unauza ng'ombe kwa kesi ya kukuNimesikitika kupata taarifa kuwa walikua wanakimbiza piki piki iliyobeba Vitenge Mungu atusaidie kwa kweli unawezaje kutumia LX kukimbiza boxer kama mnaendelea kufanya hiyo mambo acheni kabisa mnahatarisha maisha yenu bila kujua hawawezi kutangaza chanzo wanajua ni ujinga ila ndio habari za watu wa road wamepata hizo...
TRA ni kati ya watu wasiotenda haki kwa jamii ya Watz. Hivyo ni wazi watu wawachukie na kuwaombea mabaya.Ninachoona hapa ni kwamba wafanyakazi wa TRA wanachukiwa na wananchi Kama polisi.
Polisi wana njaa sana, hawaaminiki na mamlaka nyingine.Ninachojiuliza kwanini wafukukuzie gari wakati barabarani kuna askari wa usalama, kukimbiza gari barabarani kwa kuwa ni TRA ni hatari hata kwa usalama wa watu wengine na mwisho Mbeya na Songwe ni mikoa miwili tofauti ilikuwaje watumishi wa TRA wa mkoawa Mbeya wakafanye operesheni mkoa wa Songwe je waliruhusiwa na nani? je mkoa wa Songwe hawana TRA, je wakati wanaenda Mbozi waliwasiliana na wenzao wa Mkoa wa Songwe?
Nikekuwekea kimoja cha kutabasamu😁😁Karibuu
mkuu hao hawajafia nchi wamefia njaa zao utashangaa wangewakamata wangepokea buku 2 ya chai tuWalikuwa wanawaza nini kufukuzia magendo?.. Unafukuzanaje na watu wamejitoa muhanga ??? ..
Halafu unazifukuzia kodi hivo, wenye nchi wanazigawanya kwenye posho za vikao.
Aisee wanaoifia hii nchi wana mioyo ya chuma
Najua unajitahidi kutafakari ila hao wa tra ni wazembe kupindukia!! Kwani hayo magendo wangeyakamata ndio tungeingia uchumi wa kati!! Au walikiwa wanakimbilia matumbo yao!? Rushwa tupu!!!Haimake sense kabisa hapo gari ziliumana face to face aisee ama la hash hio fuso jamaa aliwafanyia uhuni akakanyagaa brakes ghafla TRA akiwa anajaribu kutoka kumu overtake ili akampige pini mbele😸 akaila fuso kwa nyuma pembeni kabisa sababu ile body ya fuso ni chuma kigumu kama container tu huenda ndio ilimenya cruiser namna hio!
Hakuna jukumu LA kujitoa uhai kwa uzembeMkuu Walichokua wanafanya ni moja ya jukumu lao la msingi la kazi waliyoomba.
Rushwa ndio inatafutwa hapo sio ishu ya uzalendoNajua unajitahidi kutafakari ila hao wa tra ni wazembe kupindukia!! Kwani hayo magendo wangeyakamata ndio tungeingia uchumi wa kati!! Au walikiwa wanakimbilia matumbo yao!? Rushwa tupu!!!
Hakuna jukumu LA kujitoa uhai kwa uzembe
Hapo nakubali jamaa wa magendo wamevurugwa unambiwa walikua na IST nahis alitia 180km/hr hiko ki IST ili aweze kuvimbia 1HZin short una maana wapo tayari kwa lolote lile na hawana kitu cha kupoteza kwa hiyo unapo changa karata zako kuwa makini.
Labda gari kubwa lili simama ghafla,hapa kutakuwa na kamchezo kachafu kamechezwa,hao watuhumiwa it seems hawakuwa peke yao kuna gari jingine labda liliwachomekea wakajikuta wamejaa kwenye lori,hilo eneo kama ni katikati ya Tunduma na Vwawa pamenyooka sana lazima walikuwa zaidi ya km 160 kwa saa,MUNGU awalaze pema peponi.Hii ajali ya ajabu aisee! Sasa inakuwaje dereva anagonga gari kwa nyuma alikuwa haoni ama ni mambo ya mzizioloji 👻?
Unawajua kumbe..!!Hawa jamaa walikua wanakimbiza gari yenye mzigo wa magendo, mwenye hio gari aliovertake hilo lori kukawa na lori lingine linakuja face to face (mwenye magendo) akafanikiwa kulipita hilo lori, hii cruiser ikashindwa kupita maana lori lingine lilikua karibu tayari ikabidi jamaa apige hili lori kwa nyuma ndo akazama uvunguni..ila yote kwa yote hata tusemaje ndugu zetu hawa hawawezi kurudi tenda...pumzika kwa Amani mwanangu Saidi Buddy....jamaa alikua mwana kichizi....
Mwingine ana marufuku ya kuchana nywele, mwingine kuvaa suti mwiko na mwingine asilalie kitanda asilani. Jamani jamani...Kaka. Kaa mbali na wafanyabiashara wa Makete, Njombe, Mbeya na Mbozi.
Hao mabilionea wanaovaa ndala, wasiokula nyama, wasio na michepuko Wana maagano makubwa sana na ibilisi.
Kweli mkuu kuna siku nilipanda fuso la mangi mmoja kijana tu ilikuwa inatembea balaa zaidi ya 120Siku zote gari zikibeba magendo
Basi juwa suka kauza roho
Ova
Actually huu ndio utaratibu wa majirani zetu hapo Kigali. Gari likiharibikia barabarani; Trafiki anakuja kukusimamia utengeneze. Kama halijapona ndani ya masaa matatu; anaita zile gari za kuvuta ili zije kukutoa barabarani; na hizo gharama utalipia.Sawa lakini uwekwe utaratibu.. Kwa mfano, gari bovu likiripotiwa, lisikae barabarani zaidi ya 30mins. Ukishindwa kutengeneza ndani ya huo muda, livutwe na utalipia hizo gharama. Simple.
Nimewahi kukuta lorry kwenye barabara Jumanne, narudi Ijumaa bado lipo. Ndio maana nasema, barabara zisiwe garage.
Asante kwa kunielewain short una maana wapo tayari kwa lolote lile na hawana kitu cha kupoteza kwa hiyo unapo changa karata zako kuwa makini.