Kima mdogo
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 303
- 46
Ni ajali mbaya iliyotokea njiapanda ya Moshi-Himo iliyohusisha gari dogo aina ya Nissan iliyokua imebeba wafanyakazi wa Tigo waliokua wanaelekea Himo kwenye promotion iliyogongana na Fuso ya mizigo,mpaka sasa watu 4 wafanyakazi wa Tigo wameaga dunia,kuna majeruhi wengine wako katika hali mbaya sana na wamelazwa Kcmc hosp.Soure mimi mwenyewe niko KCMC