Texas Tom.
JF-Expert Member
- Jun 8, 2013
- 510
- 273
Mmh, penye moshi kuna moto
Sasa, nikiwa nawaona wanamme wanaofanya kazi hapo najua tayari, kiboga kimehusika.
kuna ndugu yangu kwa mbaaaali kidogo pale naogopa hata kumpigiaMmh, penye moshi kuna moto
Sasa, nikiwa nawaona wanamme wanaofanya kazi hapo najua tayari, kiboga kimehusika.
Ndio maana yake.
Na mimi kuna mkenya nataka kumuajiri kwenye shamba langu lazima nimle kiboga, haiwezekani wawabandue wachaga ambao ni shemeji zangu halafu mimi nimchekee huyu mkikuyu
Ndio maana yake.
Na mimi kuna mkenya nataka kumuajiri kwenye shamba langu lazima nimle kiboga, haiwezekani wawabandue wachaga ambao ni shemeji zangu halafu mimi nimchekee huyu mkikuyu
Thubutu; mchagga wa wapi atakubali kuliwa kiboga? Nenda kaulize utakuta men zinazijiachia ni wakutoka nje ya Knjaro
Utajichafua bana, achana naye tu
kuna wafanyikazi wa Kenya
na Tanzania lakini mara
nyingi tatizo linatokea pale
wanapowalazimisha
Watanzania kufanya kazi
maana wengi hawapendi
kufanya kazi bila
kushurutishwa:
mbona malalamiko hayana ushahidi,ilitakiwa waweke mtego live kisha watoe malalamiko hayo!ila kiukweli wakenya wamechukua nafasi nyingi za kazi tanzania kwa sasa,mahoteli,maduka,mabenki,kampuni za insurance,utalii,mashule zimeajiri wakenya kwa wingi kuliko watanzania.Watu wa uhamiaji mpo huyo kakiri kuajiri wakenya katika duka jee sheria zinaruhusu kada ya shopkeeper kuwa foreigner?Duu hapo kwenye wanaume kuombwa kabaang ili apate ajira ndiyo leo naisikia ni kali ingekuwa na tego ingependeza zaidi au hata record ya huyo meneja akiomba hiyo tiGO
Tatizo la sisi WaTZ ni kweli ni wavivu na watu wapenda Majungu ya kutaka kujua fulani kala nini jana leo fulani amevaa nini! Wakenya watatupiga bao tu tupende tusipende!
My take: Naunga mkono hii hoja! Kwani kazi ni baba yako!
Alisema katika duka lake
Ndio maana yake! Ukiwa Legelege lazima uombwe TigoKwahiyo uvivu wao utisha kwa kuombwa utamu?
Utajichafua bana, achana naye tu