Second Lieutenant
Senior Member
- Jan 13, 2014
- 143
- 26
Kuleta other staffs toka Kenya,ukimtoa Meneja Na msaidizi wake it means Hakuna watanzania wenye sifa ya kufanya kazi hizo,uhamiaji Na wizara ya kazi Na ajira mnahona hayo matusi? Hii ni kuzalilisha elimu yetu kwamba hatuwezi hata kuuza duka,natanguliza pole zangu kwa wale wote waliotoa penzi Na viboga ili wapate kazi,daaah hatariiii sanaaa,Watanzania tuamke,it's our country,daah mpaka Vijana mnatoa viboga mpate kazi,Hatariiii sanaaa