Wafanyakazi wa kiwanda Cha luponde tea estates wagoma

IJIGHA NDIO HOME

JF-Expert Member
Jul 13, 2019
748
771
Wafanyakazi wa kiwanda Cha chai Cha luponde tea estates kilichopo mkoani njombe waiomba serikali ingilie Kati kufuatia mgogoro uliopo Kati yao na mwajili.hii Ni kutokana na malimbikizo ya mishahara na michango yao ya nssf kutopelekwa tangi mwaka 2019.hivyo tangia tarehe moja mwezi huu wamegoma kufanya kazi kushinikiza kilipwa stahiki zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…