Wafanyakazi wa kiwanda Cha luponde tea estates wagoma

IJIGHA NDIO HOME

JF-Expert Member
Jul 13, 2019
748
769
Wafanyakazi wa kiwanda Cha chai Cha luponde tea estates kilichopo mkoani njombe waiomba serikali ingilie Kati kufuatia mgogoro uliopo Kati yao na mwajili.hii Ni kutokana na malimbikizo ya mishahara na michango yao ya nssf kutopelekwa tangi mwaka 2019.hivyo tangia tarehe moja mwezi huu wamegoma kufanya kazi kushinikiza kilipwa stahiki zao
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom