Wafanyakazi wa kampuni ya Halotel wasitisha huduma

Watanzania ni watu wanaoishi kwa kukariri kwamba ukimaliza kusoma inabidi upate kazi yoyote hata kama mshahara mdogo uendelee kukaa hapo huku ukitafuta kazi yenye kipato kizuri huku wakisahau kwamba mfanyakazi anakua na haki zake moja ya principle duniani za kufanya kazi inaitwa DECENT WORK hapa unazungumzia mazingira mazuri ya kufanya kazi mazingira mazuri ya kufanya kazi ili yasikuathiri maisha yako,,hivi kufanyishwa kazi masaa 12 unafikiri mchezo licha ya hayo 35 yanayoongelewa mtu anaeweza kukabiliana na suluba hizo huyo hajitambui thamani yake, niliwahi kuacha kazi sehemu fulani sababu tu ha mazingira mabovu mpaka dakika hii sijawahi jutia, umeme hakuna, nje ya mji ikinyesha mvua matope huwezi kutembea, kiangazi vumbi masaa yote nikimaaanisha vumbi yani ukitembea hatua 5 tu vumbi mpaka magotini, jamaa walikua hawacheleweshi mshahara lakini binafsi nilijichokea...
 
Hawa jamaa ni wapumbavu sana...

Ni hakika wana mkono wa kigogo wa serekali.... Ndio maana wana uwezo wa kufanya unyonyaji kwa wananchi ndani ya nchi yao.

WAtanzania wanapata shida na kunyanyaswa kutokana na tamaa za viongozi wachache.

Kwa TCRA wanatoaje leseni bila kujua mfumo mzima wa kampuni za mitandao ya mawasiliano ?

Hata wizi unaofanyika katika hii mitandao ni wa mabilioni kwa mwaka... Kama mtu unanunua kifurushi na kina kwisha kabla haujatumia kuna mamlaka hapo.....???
 
mimi nilisoma UDSM pale UDBS nafanya kazi HALOTEL sijajutia nafanya kazi wilay Moja hivi hapa tz sijajuta kuwa halotel nilizoea boom la chuo now napata salary yangu 450000 posho elfu 90 kwa mwezi nimekosa nini??? . aku mniache na halotel yetu chuki zenu mtajijua wenyewe mnaopandikiza humu JF wengine mpo wafanyakaهzi wa mitandao mingine naona halotel wanawapiku mnaweweseka.... HALOTEL ndio kiboko yao mpaka chunya tupo, urambo, kasulu, ileje n.k chuki ni bure njaa home haipo wife wangu na watoto wana enjoy hata ndg zangu wanaanza kula matunda yangu
 
Kazi ikiwa ngumu unakuwa huru kuacha msiuponde mtandao wa Halotel tena ni mtandao mzuri upo vijijini si hiyo inayong'ang'ania mijini ndani ya mji moja minara lukuki lakini vijiji hawataki kuwekeza.Big up Halotel huku vijijini mpaka H+ internet yenye kasi ya kutosha.

Kwakweli wanejitahidi wapo nchi nzima hasa vijijini ambako hakuna mitandao mingine, kwa hilo nawapongeza
 
Hawa jamaa wako pouwa kuliko mitandao yoooote ambayo ilikuwapo tangia zamani.
Kwa niternet ndio funga kazi, kuhusu coverege, hawa jamaa wako katika sehemu kubwa kuliko wengine,. Wanapatikana hadi vjijiniiiii amabako wengine hawapatikani...
Tangia wafike hawa, mie kuhusu internet sijawahi chukua wengine zaidi yao,...
 
mimi nilisoma UDSM pale UDBS nafanya kazi HALOTEL sijajutia nafanya kazi wilay Moja hivi hapa tz sijajuta kuwa halotel nilizoea boom la chuo now napata salary yangu 450000 posho elfu 90 kwa mwezi nimekosa nini??? . aku mniache na halotel yetu chuki zenu mtajijua wenyewe mnaopandikiza humu JF wengine mpo wafanyakaهzi wa mitandao mingine naona halotel wanawapiku mnaweweseka.... HALOTEL ndio kiboko yao mpaka chunya tupo, urambo, kasulu, ileje n.k chuki ni bure njaa home haipo wife wangu na watoto wana enjoy hata ndg zangu wanaanza kula matunda yangu

Hakika kwa hilo usemalo haswa
 
Haha...mkuu ila haimaanishi hata ukipata kazi unyanyaswe asee masaa 35+.....dah
Masaa machache sana hayo. Sheria inasema mtu afanya kazi masaa 45 kwa wiki, na masaa 9 kwa siku!

Mbona hao wanakula bata tu, au ndio first employement. Hawajui standards za ajira.
 
mimi nilisoma UDSM pale UDBS nafanya kazi HALOTEL sijajutia nafanya kazi wilay Moja hivi hapa tz sijajuta kuwa halotel nilizoea boom la chuo now napata salary yangu 450000 posho elfu 90 kwa mwezi nimekosa nini??? . aku mniache na halotel yetu chuki zenu mtajijua wenyewe mnaopandikiza humu JF wengine mpo wafanyakaهzi wa mitandao mingine naona halotel wanawapiku mnaweweseka.... HALOTEL ndio kiboko yao mpaka chunya tupo, urambo, kasulu, ileje n.k chuki ni bure njaa home haipo wife wangu na watoto wana enjoy hata ndg zangu wanaanza kula matunda yangu

Haaaaahaaa Nimecheka

Bora ww unaposho
 
Halafu internet yao inasumbua sana.. bando zao zina expire bila faida,Je, haijawa activated?
^^

Aiseee, we jamaa acha uongo aisee, mie natumia hallotel kwenye internet hamna mpinzani. Tangia wafike hapa tanzania sijawahi kuchukua mtandao mwingine kwenye inetrnet. Hawa jamaa kwa internet wako pouwa kuliko mitandao yooooote.
na kuhusu coverage, jamaa wako katika sehemu kubwaaaa sana, hadi vijijini ambako mitandao hii ya zamani haijafika.
Kuhusu kusumbua mtandao, mie sijaona jamani natumia hiyo hallotel kwa mda wa mwezi na kitu sasa.
 
Back
Top Bottom