Wafanyakazi wa chuo cha Uhasibu Arusha walazimishwa kuandika 'fake statement' dhidi ya CHADEMA

Wanabodi
Nimepata taarifa za uhakika kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha anahangaika kumbambikizia Lema kesi ya mauaji,hivyo amelazimisha mambo mawili
1.Chuo kufungwa ili kuficha ukweli,hata hivyo uongozi wa chuo ulijitahidi kumweleza madhara ya chuo kufungwa ikiwa ni pamoja na mitihani wiki ijayo,lakini alikataa
2.Mkuu wa mkoa analazimisha baadhi ya wafanyakazi wa chuo kuandika maelezo kwa hati zao,maelezo yatakayomtia Lema kwenye kesi ya mauaji ili akose dhamana

Kiutaratibu na kisheria ili maelezo ya shahidi yapokelewe mahajkamani ni lazima yarekodiwe na afisa wa polisi.
 
Kwamba kamuua nani?

Hata kama RC uwezo wake wa kufikirika uwe ziro HABARI hii nina uhakika ni ya KUFIKIRKA tu!

Wakati wa mauaji Lema hakuwepo eneo la tukio na kuna usahidi kwa hilo,Polisi wenyewe HAWAWEZI kubali kesi hiyo!!Tuache kuandika kwa hisia!
 
Wakati Lema akiongea na Wanafunzi,kuna wakati wale ambao walikuwa wanaonekana kama Walimu,waliokuwa wamesima na Lema,walikuwa wanaongea kwa nyuso zao.....Mtu anayejua kwamba nyuso zao zilikuwa zinaonyesha wanasema nini,ndiye anayeweza kujua ki usahihi kwamba watakuwa waliandika nini kwenye maelezo yao.
 
Hivi huyu RC wa Arusha anafanya haya yote kwa maagizo ya wakubwa zake?

Hiki kiburi cha huyu RC si bure!
 
Aliyefungua kesi ni nani? Maelezo yaliwekwa hayastahili Lema kutokupewa dhamana na hii inaonyesha jinsi serikali inavyojiabisha kwenye mambo usiyotegemea;



· “Dhambi mbaya na kubwa kuliko zote duniani ni woga” na hivyo kuwataka wanachuo wasiwe waoga Hapa kuna uchochezi gani? aliwaambia wasiwe waoga kudai haki yao na hakuwaambia wamzomee RC, na sababu za kuzomewa au kurushiwa vitu visivyo na ncha kali ni approach ya RC. Kuna wanafunzi waliobeba mapanga wakiwa maeneo ya chuo kuwa waliambia wasiwe waoga watimize nini...hii sentensi ya Lema inaweza kuwa interpreted tofauti na kwa mazingira yale haionyeshi kuna mahali aliwaambia walete fujo hata kidogo.
·


· Wakati anaongea na wanachuo kuhusu ujio wa mkuu wa mkoa mhe mulongo ambaye alionekana kuchelewa, inadaiwa mhe Lema aliwaambia wanachuo, “NImepata taarifa kuwa ndani ya dakika 15 mkuu wa mkuu atafika, asipofika ndani ya muda huo nitawaongoza kwenda kudai haki yenu ya msingi ya kupatiwa ulinzi. Kwani ilitokea RC hakuja na wanachuo wakaandamana? hii haina nguvu. Pia Lema ndiye aliyekuta wanachuo wako katika mipango ya kwenda kwa RC, yeye kujiunga nao ingekuwa sawa kwani maandamano yalikuwa ni ya amani na hayakuwa coordinated na Lema hata kidogo
· Baada ya mkuu wa mkoa kufika aligoma kuongea na wanachuo bila kuwa na kipaza sauti akataka PA system ifungwe ndio aweze kuongea, alipose,a maneno hayo wanafunzi wakaanza kuguna kuwa anaringa, mkuu wa mkoa akasema, kwa hali hii hataweza kuongea na wanafunzi wasio na adabu. Baada ya hapo mhe Lema akasema mbele ya wanachuo, “Hawa ndio viongozi wetu tunaowategemea wanakuja wanajivuta utafikiri wanakwenda kwenye send-off”?.RC umepata briefing nzuri kwa polisi na uongozi wa chuo, badala ya RC kuwa mpole kwani situation ilikuwa ya binadamu kuuliwa na situation kama hizo za kuongea na umati wa watu hata kama wanapiga kelele you keep talking some will capture you want to deliver, ukijifanya unataka kuabudiwa wanyamaze au upewe mic katika hali ile hakutumia akili kwa mtu kama RC. Lema mwenyewe hakuweza kuongea fluently kwasababu ya kelele na pia umati wa watu ulikuwa ni ule ule RC alitaka kuongea nao.


· SIONI SABABU ZA KUFUNGA CHUO AU KUSHINIKIZA CHUO KISIFUNGULIWE KWA SABABU ZA KISIASA, WANACHUO HAWANA TATIZO NA UONGOZI WA CHUO NA HAWAKUHARIBU MALI AU KUTISHIA USALAMA WA VIONGOZI WA CHUO. HIZI SABABU ZA KISIASA ZINAPANDIKIZA CHUKI KWA JAMII NA VIJANA AMBAO WAMETOKA MIKOANI KUJA KUSOMA, MITIHANI INAWASUBIRI, WAZAZI/SPONSORS WANAKUWA VICTIMIZED NA WANASIASA WASIOJUA HATA BASIC OBJECTIVES ZA CONFLICT RESOLUTION...MTU AMEFIWA CHA KWANZA NI KUMPA POLE SIO KUSEMA WANACHUO HAWANA ADABU UNATAKA MIKE...SERIKALI YA KIKWETE NI MOJA YA SERIKALI MBOVU MBOVU DUNIANI
 
Wanabodi
Nimepata taarifa za uhakika kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha anahangaika kumbambikizia Lema kesi ya mauaji,hivyo amelazimisha mambo mawili
1.Chuo kufungwa ili kuficha ukweli,hata hivyo uongozi wa chuo ulijitahidi kumweleza madhara ya chuo kufungwa ikiwa ni pamoja na mitihani wiki ijayo,lakini alikataa
2.Mkuu wa mkoa analazimisha baadhi ya wafanyakazi wa chuo kuandika maelezo kwa hati zao,maelezo yatakayomtia Lema kwenye kesi ya mauaji ili akose dhamana

Mashtaka tayari yameshatolewa na tayari ndiyo yatawasilishwa mahakamani. hayo mengine ni udaku tu
 
Mzee MM - you would be surprised how many people lack personality wherever you are. See James 1:24..
 
Hivi mtu mzima na akili zako unaweza vipi kulazimishwa kufanya jambo ambalo hutaki kufanya? HIvi watu hawana tena ujasiri wa kusimamia utu wao? Mtu mwingine anaweza vipi kukulazimisha kushika kalamu au ksuema kitu ambacho dhamira yako inajua si ukweli? Si anaweza kukulazimisha kufanya na mambo mengine ukashindwa kukataa. Fahari ya mtu ni utashi wako. Ni tunu pekee ambayo haijaweza kutiwa pingu au kufungwa gerezani au hata kuuliwa.

Mtu mwenye akili anapolazimishwa kufanya ujinga basi watu wenye akili wanalazimika kumuona mtu huyo mjinga!! quote me.

I quote you dady' ukweli Mzee mwanakijiji madhara ya uoga yanadhalilisha sana utu wa mtu. lakini najiuliza chuo cha uhasibu arusha kipo chini ya wizara ya fedha kupitia Taasisi ya uhasibu tanzania (TIA) na kuna bodi ya chuo ambaye mwenyekiti wake uteuliwa na rais na wajumbe wake wanateuliwa na Waziri wa fedha how comes mkuu wa mkoa anatoka haliko toka anakuja kufunga chuo kivipi, kwa msingi ipi, kwa mamlaka yapi na mamlaka hayo kayapata wapi please MMM ww ni mwandishi wa habari, na hata habari za uchunguzi hili linaleta sense dady.
 
Ni vigumu sana kuamini kuwa haya mambo ya kipuuzi yanaoivua nguo serikali na kudhalilisha utawala, yanaelekezwa kwa maamuzi ya Magessa Mulongo pekee kama RC.

Never.
yuko Arusha kwa lengo mahususi la kuhakikisha rais hatoki kanda ya kaskazini, na pia anaidhibiti chadema arusha!
 
Huyu jamaa ni hopeless kabisa. Anatumia vibaya madaraka yake bila kujali athari kubwa za upumbavu wake. Huyu inabidi azomewe kila anapoonekana mpaka wamuondoe Arusha.

Wanabodi
Nimepata taarifa za uhakika kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha anahangaika kumbambikizia Lema kesi ya mauaji,hivyo amelazimisha mambo mawili
1.Chuo kufungwa ili kuficha ukweli,hata hivyo uongozi wa chuo ulijitahidi kumweleza madhara ya chuo kufungwa ikiwa ni pamoja na mitihani wiki ijayo,lakini alikataa
2.Mkuu wa mkoa analazimisha baadhi ya wafanyakazi wa chuo kuandika maelezo kwa hati zao,maelezo yatakayomtia Lema kwenye kesi ya mauaji ili akose dhamana
 
Hivi mtu mzima na akili zako unaweza vipi kulazimishwa kufanya jambo ambalo hutaki kufanya? HIvi watu hawana tena ujasiri wa kusimamia utu wao? Mtu mwingine anaweza vipi kukulazimisha kushika kalamu au ksuema kitu ambacho dhamira yako inajua si ukweli? Si anaweza kukulazimisha kufanya na mambo mengine ukashindwa kukataa. Fahari ya mtu ni utashi wako. Ni tunu pekee ambayo haijaweza kutiwa pingu au kufungwa gerezani au hata kuuliwa.

Mtu mwenye akili anapolazimishwa kufanya ujinga basi watu wenye akili wanalazimika kumuona mtu huyo mjinga!! quote me.
wafanya kazi wengi wa serikali hawako huru, huenda ametishia kuwatimua kazi iwapo hawatakubaliana naye kuhusu hayo! Ccm bila polis, walimu n.k mambo hayaendi!
 
Hivi mtu mzima na akili zako unaweza vipi kulazimishwa kufanya jambo ambalo hutaki kufanya? HIvi watu hawana tena ujasiri wa kusimamia utu wao? Mtu mwingine anaweza vipi kukulazimisha kushika kalamu au ksuema kitu ambacho dhamira yako inajua si ukweli? Si anaweza kukulazimisha kufanya na mambo mengine ukashindwa kukataa. Fahari ya mtu ni utashi wako. Ni tunu pekee ambayo haijaweza kutiwa pingu au kufungwa gerezani au hata kuuliwa.

Mtu mwenye akili anapolazimishwa kufanya ujinga basi watu wenye akili wanalazimika kumuona mtu huyo mjinga!! quote me.

Hapa Mzee Mwanakijiji, umezungumza kama wewe si Mtanzania! Umeshasahau wakati wa uchaguzi mambo huwa yanakuaje? Watu, kwakupewa mahindi, kanga, tshirt, kofia, wali, pombe, nk. wanakiweka chama madarakani! Na sasa tunaadhirika na watoto wetu watajuta wakati wajukuu wetu wataishi hapa Tanzania kama si nchini kwao! Tukiwa hai mpaka wakati huo utakuja kuniambia.
 
huyo ni mmoja wa aina ya wakuu wa mkoa wa Tz, na nimeamini lema kiboko. Ataumbuka tu, kama kesi yao ya rwakatale.
 
Msiongee sana atashtuka mwacheni had hiyo juma3 tuone ushahidi wao. Wao wanaushahd wa kuandika wenyewe lakini video ndio ztaonyesha kla kitu
 
Kiongozi wangu Saharavoice nakwambia ya kwamba hawa mafisadi hawana bahati hasa nyakati hii ya utandawazi mtupu!

MAPAMBANO YATAENDELEA MPAKA KIELEWEKE!

Strategically, Mulongo ni loser na sasa anatapatapa huku na kule.
Ulimwengu huu wa tekinolojia inakubidi ufikiri nje ya box kabla ya kutenda jambo. Ukidhani walijua hili kumbe wengine walijua lile.

Siku zote nikidhani cheo cha mkuu wa mkoa ni cha maana sana kumbe hata wajinga wanaweza teuliwa pia.
 
Last edited by a moderator:
Wanabodi
Nimepata taarifa za uhakika kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha anahangaika kumbambikizia Lema kesi ya mauaji,hivyo amelazimisha mambo mawili
1.Chuo kufungwa ili kuficha ukweli,hata hivyo uongozi wa chuo ulijitahidi kumweleza madhara ya chuo kufungwa ikiwa ni pamoja na mitihani wiki ijayo,lakini alikataa
2.Mkuu wa mkoa analazimisha baadhi ya wafanyakazi wa chuo kuandika maelezo kwa hati zao,maelezo yatakayomtia Lema kwenye kesi ya mauaji ili akose dhamana

Hivi huyu mkuu wa mkoa yeye yuko juu ya sheria au?nina hakika anafanya hivi kwa maelekezo ya mtu fulani ambae anaamini kila awazalo yeye ndilo sahihi,ila uzuri Mungu si mnafiki,unavyoishi ndivyo utakavyokufa,mabaya yote ulipwa hapa hapa duniani!watu wanajifanya wafuasi safi wa Mungu kumbe ni mashetani na wanafiki wakubwa
 
Yani huyu RC anchofanya ni sawa na kwenda chooni alafu choo kimejaa anajisaidia haja kubwa yale mavi unafikiri yataenda wapi kama siyo kujipakaza kwenye makalio yake...ndo anachofanya huyu mburula sasa....anajipaka mavi mwenyewe
 
Back
Top Bottom