Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 31,667
- 65,894
Bado haiondoi haki yao ya kulipwa mshahara maana walikuwa wameajiriwa,hawakuwa na kazi nyingine ya kuwaingizia kipato zaidi ya hiyo.Sasa kama wanalipwa mshahara kwa kazi hewa tufanyaje, naona kama hakuna namna nyingine