Wafanyabiashara watishia kufunga maduka zaidi

Wafanyabiashara watishia kufunga maduka zaidi

Hakuna mfanyabiashara ambaye anataka kufunga biashara ..maana sifa ni kutafuta pesa .....hii statistics ilitolewa na serikali majuzi kupitia waziri wa fedha nina imani utafiti ungefanywa na chombo huru pengine wangegundua makampuni mengi zaidi yamefungwa
Kwanini yamefungwa?
 
Wanamtishia nani? Kuna mtu aliwaomba wafungue duka??



If they can't survive, let them die
 
Wafunge tu,kwani wakati wanayafungua walimtangazia nani?
Jeans unanuanua dola 2 China,unakuja kuuza 35,000 ukiambiwa lipa kodi unatishia kufunga duka funga tu si utakufa njaa na familia yako
 
Wigo wa kodi ni mpana sana na biashara ni kama daladala wengine wanafunga wengine wanafungua. Wengi wa hao wanaofunga hawakuwa wanalipa kodi hivyo serikali mapato yako vile vile tena yanaongezeka sab wigo umezidi kupanuliwa kwa mfano maduka mengi yanatumia efd mahotel yote siku hizi ukienda na mchepuko unapata efd makampuni ya huduma za kuzoa takataka wanatoa risiti za efd baadhi ya daladala wanatoa risiti za efd hebu angalia wigo huo.
mapato ya serikali yamepanda au yako constant ....je makusanyo ni madeni ya nyuma au ni mapya >?
 
Mkuu kati ya hayo 2000 hebu tutajie makampuni 10 tu na sababu za kufunga biashara zao.

Nimenukuu taarifa aliyotoa waziri ya hali ya uchumi kwa miezi mitatu september -december 2016 ....kwa hiyo details za hayo makampuni 2000 yaliyofungwa ndani ya kipindi hicho watakuwa nayo wizara ya fedha .....
 
mapato ya serikali yamepanda au yako constant ....je makusanyo ni madeni ya nyuma au ni mapya >?
Yameongezeka madeni ya nyuma yameisha wigo umepanuliwa mara mbili sasa hivi hadi lodge za kawaida zinatoa risiti za efd wananchi wanadai risiti than before makampuni ya kuzoa taka yanatoa risit za efd matrafik efd baadhi ya daladala efd kila mahali efd efd efd kwanini mapato yasiongezeke?
 
Yameongezeka madeni ya nyuma yameisha wigo umepanuliwa mara mbili sasa hivi hadi lodge za kawaida zinatoa risiti za efd wananchi wanadai risiti than before makampuni ya kuzoa taka yanatoa risit za efd matrafik efd baadhi ya daladala efd kila mahali efd efd efd kwanini mapato yasiongezeke?
we may need authetical datas in justification ....unajuwa hao micro and small scale businesses unaongelea wanna amount percent ndogo sang ya kodi ......nchi hi kuna makampuni makubwa kabisa kama 20 ambayo kama yakilipa kodi inavyotakiwa tutakuwa mbali,pia bandarini wakibana vizuri ,naongelea sio kubana kwa kuwakomoa wafanyabiashara bali kuweka viwango rafiki ambavyo havitavutia watu kukwepa kodi ..na vitafanya traffic ya mizigo bandarini iongezeke
 
takwimu za biashara zilizofungwa nahisi ina upunfu. kuna bar na mahotel mengi yamefungwa lakini waziri hajataja.
 
we may need authetical datas in justification ....unajuwa hao micro and small scale businesses unaongelea wanna amount percent ndogo sang ya kodi ......nchi hi kuna makampuni makubwa kabisa kama 20 ambayo kama yakilipa kodi inavyotakiwa tutakuwa mbali,pia bandarini wakibana vizuri ,naongelea sio kubana kwa kuwakomoa wafanyabiashara bali kuweka viwango rafiki ambavyo havitavutia watu kukwepa kodi ..na vitafanya traffic ya mizigo bandarini iongezeke
Naongelea hali ilivyo sasa unatoa ushauri nakushauli upeleke kwa philip mpango
 
Ni hatari sana hao jamaa wafanyabiashara wakifunga maduka , huduma mbalimbali zitakosekana hata kodi haitakuwepo serikali itakosa mapato kazi ipo lakini tumpe muda mzilankende
 
Back
Top Bottom