mtotowatatu
Senior Member
- Jul 31, 2016
- 103
- 58
Anedhani akifunga duka nitalegeza mwafa, kila mtu abebe msalaba wake by rais wa manzese
Unaenda kufugia wapi na kufanyia kilimo wapi tukufuate lakini isiwe pori la seluu tusije liwa na wanyamaWayafunge tuu, Mfanyabiashara yoyote lazima uwe na plan A na B, A ikishindikana unakwenda B. Mi nimefunga naenda kulima na kufuga.
Ni wachache wanao jua wakifa wanaoza na kunuka ila kuna kundi flan wanaona wataishi milele na hata wakifa hawanuki kabisa..tucopy na kupaste kwa majirani zetuJelous people never win visas vibaya sisi sote wamoja tukifa tunaoza ya nini kukomoana?
[emoji574] [emoji573]Uchumi una paa.
Kama mzee mzigua, alivyowaingiza chaka wafugaji!! Muheza kwenye mashamba yetu ya asili, jiandaeni kununua machungwa mkuuUnaenda kufugia wapi na kufanyia kilimo wapi tukufuate lakini isiwe pori la seluu tusije liwa na wanyama
Chezea mzee mzigua ndio manake nimeogopa basi kama muheza sawa utaweza kutupoteza hila tutakula matunda mpaka basi.Kama mzee mzigua, alivyowaingiza chaka wafugaji!! Muheza kwenye mashamba yetu ya asili, jiandaeni kununua machungwa mkuu
Yaahani wautoe uko dukani washinde nao hapo nje wazo zuri sana hila usafi wa mji unauonaje atujakaribia Bombay.Yaani sasa hivi kama una mzigo bora utafute wamachinga wauze kwa maandishi na udhamini, wao hawana flame wala kodi ruksa kujimwaga popote hata mbele ya baraza yako.
Kuelekea chini mkuukuelekea wapi?
chini kubaya any wayKuelekea chini mkuu
Umedanganywa eti kilimo cha vitunguu heka 1 utapata na mil. 90 hahah,usisahau kufuga na kuku mkuuWayafunge tuu, Mfanyabiashara yoyote lazima uwe na plan A na B, A ikishindikana unakwenda B. Mi nimefunga naenda kulima na kufuga.
Kumbe umefundishwa darasani?Hao walimu wako wanafanya biashara yoyote?Njoo huku site(business) ujionee hali halisi.wakuu mimi nadhani kwenye dunia ya ushindani hamna ishu ya ubabe. ni lazima tubadilike ili tuweze kushindana vizuri na kupata faida. mimi nimefundisha kuwa njia rahisi ya kupata faida ni kuuza zaidi kwa bei ndogo lakini ukauza kwa wingi na kwa muda mfupi(sales maximizations ) hiyo ndio njia ata china wanayoitumia.
Hahahchini kubaya any way
Hapa ndipo akili za faru john zilipoishia; mnadhani Tanzania "imebarikiwa" na unique kuliko nchi zote. Wafanyabiasha tumekuwa na biashara malawi, congo, uganda kenya etc. Au mfanyabiashara kwa kuona mambo hayaendi anachukua hela na kwenda kuwekeza kwenye kilimo cha muda mrefu. Hapo serikali ishakosa direct tax. Amkeni!Wakifunga watakula nini? Biashara ni suala binafsi sio kutishiana na hapo bado benki wanataka hela zao za marejesho. Waseme hali ngumu biashara haziendi tutawaelewa
Wafunge wale nini! Jeuri hiyo wanayo?
Kama biashara haziendi unadhani matokeo yake ni nini kama sio kufunga biashara?Wakifunga watakula nini? Biashara ni suala binafsi sio kutishiana na hapo bado benki wanataka hela zao za marejesho. Waseme hali ngumu biashara haziendi tutawaelewa