MKWEAMINAZI
JF-Expert Member
- May 28, 2023
- 930
- 1,299
Taifa gumu sana hili. Inaonekana kuna mawasiliano ya ukaribu sana kati ya wamiliki wa vituo vya mafuta na viongozi wa EWURA.
Kabla ya bei ya mafuta haijapanda kulikuwa na uhaba mkubwa wa mafuta nchi nzima, lakini baada ya bei kupanda hakuna uhaba kabisa wa mafuta. Hali hiyo inaonyesha kuwa wamiliki wa vituo vya mafuta walikuwa na taarifa zote za upandishwaji wa bei ya mafuta toka EWURA ndio maana wakayaficha mafuta.
Kama ingekuwa hawajui lolote wasingeficha mafuta kusuburi bei ipande.
Kabla ya bei ya mafuta haijapanda kulikuwa na uhaba mkubwa wa mafuta nchi nzima, lakini baada ya bei kupanda hakuna uhaba kabisa wa mafuta. Hali hiyo inaonyesha kuwa wamiliki wa vituo vya mafuta walikuwa na taarifa zote za upandishwaji wa bei ya mafuta toka EWURA ndio maana wakayaficha mafuta.
Kama ingekuwa hawajui lolote wasingeficha mafuta kusuburi bei ipande.