Junior Lecturer
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 913
- 585
Nataka mkopo wa mbao za kenji na bati msauzi wa kawaida..kwa mfanya biashara aliyoko mwanza aweanauza mbao na bati, sio lazima ziwe msauzi nitamtangulizi pesa kidogo,boma langu lina haribika..
Aweke mawasiliano yake hapa nitamtafuta ili tufanye makubaliano.
Maana kila niki kusanya pesa kwa ajili ya shughuli hiyo matatizo yana jitokeza.
Nimedhamilia wala sio utani.
Aweke mawasiliano yake hapa nitamtafuta ili tufanye makubaliano.
Maana kila niki kusanya pesa kwa ajili ya shughuli hiyo matatizo yana jitokeza.
Nimedhamilia wala sio utani.