Habari,
Jamani naomba msaada wetu, mitaa ya home tuna kitigo pesa kidogo, na nmekianzisha baada ya kukosa ajira juzi wamekuja watu wa serikali za mitaa wanadai pesa za mwenge eti 10000, daa mimi sina na tangu nikue hii ni mara ya kwanza kusikia hili.
Naomba mnijuze hii ni nini na kwa nini wanatuchangisha, na usipochanga nini kinatokea?
Jamani naomba msaada wetu, mitaa ya home tuna kitigo pesa kidogo, na nmekianzisha baada ya kukosa ajira juzi wamekuja watu wa serikali za mitaa wanadai pesa za mwenge eti 10000, daa mimi sina na tangu nikue hii ni mara ya kwanza kusikia hili.
Naomba mnijuze hii ni nini na kwa nini wanatuchangisha, na usipochanga nini kinatokea?