Si inategemea na ukubwa wa lengo. Imagine 10b ndio 85%TRA wamesema wamekusanya 85% ya lengo! Wewe unasema kamji kadogo
Kamji kadogo kanakusanya billioni 10 hata wakati wa korona?! Na hii ni zaidi ya Dodoma.kamji ka moshi kalivyo kadogo, biashara 650 watakuwa wamebaki wachache sana
Ahahaaa haya bwanaYaaaaani watu vichwa vinawauma my dear.
I hope kila kitu kitakuwa sawa hakutakuwa na athari kubwa my loveliest...!
💕
85% ya nini ... yaani 85% inaweza kuwa ya chochote hata 0TRA wamesema wamekusanya 85% ya lengo! Wewe unasema kamji kadogo
Wanaomba au wanaitaarifu TRA?Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Kilimanjaro, imepokea zaidi ya maombi 650 kutoka kwa wafanyabiashara wakiomba kufunga biashara za maduka na hoteli za kitalii kutokana sababu mbalimbali.
Miongoni mwa sababu walizozieleza ni watalii kusitisha safari zao za kuja kutalii na kupanda Mlima Kilimanjaro.
Meneja wa TRA, Mkoa wa Kilimanjaro, Gabriel Mwangosi, aliyasema hayo jana wakati akizungumza na wanahabari, na kuongeza kuwa licha ya maombi ya wafanyabiashara hao, TRA imekusanya zadi ya Sh. bilioni kumi sawa na asilimia 85 ya makisio yake kwa mwezi Machi mwaka huu.
Alisema TRA kila siku kuanzia mwezi Januari mwaka huu imekuwa ikipokea wastani wa barua za maombi zaidi ya 30 kila siku kutoka kwa wafanyabiashara wakiomba kusimamisha biashara zao kwa muda, wengine moja kwa moja kutokana na mwenendo wa biashara zao.
Pia alisema tushio la maambukizi ya virusi vya ugonjwa wa homa ya mapafu corona, nao ukichangia kwa kiasi kikubwa.
Gabriel alisema TRA kuanzia leo itafanya uhakiki maduka na biashara zote zilizoombewa kufungwa, na kwamba kama mfanyabiashara atabainika kuomba kufunga biashara yake huku akiendelea na biashara, mamlaka hiyo itawaburuza mahakamani na kuwatoza faini.
Alisema kuanzia leo maofisa wa TRA watazunguka mitaani kukagua biashara zilizozofungwa na kila mfanyabiashara atapaswa kuonyesha mali zilizobakia na endapo kutakuwapo na ulaghai, mamlaka hiyo itawaburuza mahakamani.
Alisema Machi mwaka huu, TRA ilikusanya zadi ya asilimia 85 ya makisio ya makusanyo ya mapato, na kwamba hatua hiyo imefikiwa baada ya wafanyabiashara mkoani hapa kuwa na mwamko wa kulipa kodi kutokana na elimu na mahusiano mazuri kati ya wafanyabiashara na watumishi wa mamlaka hiyo.
Alisema kwa siku mbili mfululizo Machi 30 na 31 mwaka huu, watumishi wa TRA mjini Moshi walikaa ofisini hadi saa nne za usiku wakiendelea kutoa huduma kwa wafanyabiashara waliojitokeza kwa wingi kulipa kodi kabla ya Machi 31 kumalizika.
Alitoa wito kwa wafanyabiashara kuacha tabia ya kujitokeza tarehe za mwisho za ulipaji wa kodi ili kuepuka kutozwa faini kwani hali hiyo inasababisha msongamano wa walipakodi na kiwakwamisha watumishi wa mamlaka hiyo kutoa huduma bora.
Gabriel alisema ili kuepuka misongamano isiyokuwa na ulazima na kuzuia kuenea kwa maambukizi ya corona katika ofisi za TRA na benki, wafanyabiashara hawanabudi kujenga utamaduni wa kulipa kodi kabla ya tarehe za mwisho.
Alisema TRA mkoani hapa imeendesha kampeni ya utoaji elimu na faida za ulipaji kodi na wafanyabiashara kuwa na mwamko wa kulipa kodi.
Gabriel alisema tishio la corona limesababisha kusitishwa kwa safari za watalii kuja kupanda Mlima Kilimanjaro na kutembelea hifadhi wanyamapori, hivyo kuathiri biashara ya utalii kwani hata hoteli za kitalii zimepunguza ama kuwaondoa wafanyakazi wanaotoa huduma kwa wageni wa utalii.
Alisema amefanya ukaguzi katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) na kubaini hakuna ndege yoyote kutoka mataifa ya nje wanaokuja kufanya utalii isipokuwa ndege zinaotoa huduma za kusafirisha abiria wa ndani.
NIPASHE
Tofauti ya Tanzania na ulaya Au Marekani ndio hapo..huku wanafunga biashara, wenzetu wameintroduce various package kuwasaidia wafanyabishara ambao biashara zao zimepata msukosuko. Wenzetu wanafuata records za wafanyabishara kulipa kodi etc ili biashara zisife ili wakati ujao wakusanye kodi vizuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nilikuwa nafikiria siku wanajeshi wakikosa mshahara si itakuwa balaa na mabunduki yao
Ya makadirio yao, Kwa maneno mengine wako vizuri kwenye makusanyo. Pia kihesabu huwezi kupata % kwenye 085% ya nini ... yaani 85% inaweza kuwa ya chochote hata 0
Hivi wanabodi, ombi lina pande mbili, kukubaliwa au kukataliwa. Sasa, kuhusu hii ishu, unaomba kufunga au unataarifu kufunga naomba kuelewa.Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Kilimanjaro, imepokea zaidi ya maombi 650 kutoka kwa wafanyabiashara wakiomba kufunga biashara za maduka na hoteli za kitalii kutokana sababu mbalimbali.
Miongoni mwa sababu walizozieleza ni watalii kusitisha safari zao za kuja kutalii na kupanda Mlima Kilimanjaro.
Meneja wa TRA, Mkoa wa Kilimanjaro, Gabriel Mwangosi, aliyasema hayo jana wakati akizungumza na wanahabari, na kuongeza kuwa licha ya maombi ya wafanyabiashara hao, TRA imekusanya zadi ya Sh. bilioni kumi sawa na asilimia 85 ya makisio yake kwa mwezi Machi mwaka huu.
Alisema TRA kila siku kuanzia mwezi Januari mwaka huu imekuwa ikipokea wastani wa barua za maombi zaidi ya 30 kila siku kutoka kwa wafanyabiashara wakiomba kusimamisha biashara zao kwa muda, wengine moja kwa moja kutokana na mwenendo wa biashara zao.
Pia alisema tushio la maambukizi ya virusi vya ugonjwa wa homa ya mapafu corona, nao ukichangia kwa kiasi kikubwa.
Gabriel alisema TRA kuanzia leo itafanya uhakiki maduka na biashara zote zilizoombewa kufungwa, na kwamba kama mfanyabiashara atabainika kuomba kufunga biashara yake huku akiendelea na biashara, mamlaka hiyo itawaburuza mahakamani na kuwatoza faini.
Alisema kuanzia leo maofisa wa TRA watazunguka mitaani kukagua biashara zilizozofungwa na kila mfanyabiashara atapaswa kuonyesha mali zilizobakia na endapo kutakuwapo na ulaghai, mamlaka hiyo itawaburuza mahakamani.
Alisema Machi mwaka huu, TRA ilikusanya zadi ya asilimia 85 ya makisio ya makusanyo ya mapato, na kwamba hatua hiyo imefikiwa baada ya wafanyabiashara mkoani hapa kuwa na mwamko wa kulipa kodi kutokana na elimu na mahusiano mazuri kati ya wafanyabiashara na watumishi wa mamlaka hiyo.
Alisema kwa siku mbili mfululizo Machi 30 na 31 mwaka huu, watumishi wa TRA mjini Moshi walikaa ofisini hadi saa nne za usiku wakiendelea kutoa huduma kwa wafanyabiashara waliojitokeza kwa wingi kulipa kodi kabla ya Machi 31 kumalizika.
Alitoa wito kwa wafanyabiashara kuacha tabia ya kujitokeza tarehe za mwisho za ulipaji wa kodi ili kuepuka kutozwa faini kwani hali hiyo inasababisha msongamano wa walipakodi na kiwakwamisha watumishi wa mamlaka hiyo kutoa huduma bora.
Gabriel alisema ili kuepuka misongamano isiyokuwa na ulazima na kuzuia kuenea kwa maambukizi ya corona katika ofisi za TRA na benki, wafanyabiashara hawanabudi kujenga utamaduni wa kulipa kodi kabla ya tarehe za mwisho.
Alisema TRA mkoani hapa imeendesha kampeni ya utoaji elimu na faida za ulipaji kodi na wafanyabiashara kuwa na mwamko wa kulipa kodi.
Gabriel alisema tishio la corona limesababisha kusitishwa kwa safari za watalii kuja kupanda Mlima Kilimanjaro na kutembelea hifadhi wanyamapori, hivyo kuathiri biashara ya utalii kwani hata hoteli za kitalii zimepunguza ama kuwaondoa wafanyakazi wanaotoa huduma kwa wageni wa utalii.
Alisema amefanya ukaguzi katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) na kubaini hakuna ndege yoyote kutoka mataifa ya nje wanaokuja kufanya utalii isipokuwa ndege zinaotoa huduma za kusafirisha abiria wa ndani.
NIPASHE
Mimi nilikuwa nafikiria siku wanajeshi wakikosa mshahara si itakuwa balaa na mabunduki yao
Watageukia biashara nyingine kwani hiyo ndiyo kazi wanayoifahamu! Watafunga hoteli kwa ajili ya watalii, watafungua hoteli kwa ajili ya akina mangi au siyo. Twende tu kidogo kidogo hadi tufike!Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Kilimanjaro, imepokea zaidi ya maombi 650 kutoka kwa wafanyabiashara wakiomba kufunga biashara za maduka na hoteli za kitalii kutokana sababu mbalimbali.
Miongoni mwa sababu walizozieleza ni watalii kusitisha safari zao za kuja kutalii na kupanda Mlima Kilimanjaro.
Meneja wa TRA, Mkoa wa Kilimanjaro, Gabriel Mwangosi, aliyasema hayo jana wakati akizungumza na wanahabari, na kuongeza kuwa licha ya maombi ya wafanyabiashara hao, TRA imekusanya zadi ya Sh. bilioni kumi sawa na asilimia 85 ya makisio yake kwa mwezi Machi mwaka huu.
Alisema TRA kila siku kuanzia mwezi Januari mwaka huu imekuwa ikipokea wastani wa barua za maombi zaidi ya 30 kila siku kutoka kwa wafanyabiashara wakiomba kusimamisha biashara zao kwa muda, wengine moja kwa moja kutokana na mwenendo wa biashara zao.
Pia alisema tushio la maambukizi ya virusi vya ugonjwa wa homa ya mapafu corona, nao ukichangia kwa kiasi kikubwa.
Gabriel alisema TRA kuanzia leo itafanya uhakiki maduka na biashara zote zilizoombewa kufungwa, na kwamba kama mfanyabiashara atabainika kuomba kufunga biashara yake huku akiendelea na biashara, mamlaka hiyo itawaburuza mahakamani na kuwatoza faini.
Alisema kuanzia leo maofisa wa TRA watazunguka mitaani kukagua biashara zilizozofungwa na kila mfanyabiashara atapaswa kuonyesha mali zilizobakia na endapo kutakuwapo na ulaghai, mamlaka hiyo itawaburuza mahakamani.
Alisema Machi mwaka huu, TRA ilikusanya zadi ya asilimia 85 ya makisio ya makusanyo ya mapato, na kwamba hatua hiyo imefikiwa baada ya wafanyabiashara mkoani hapa kuwa na mwamko wa kulipa kodi kutokana na elimu na mahusiano mazuri kati ya wafanyabiashara na watumishi wa mamlaka hiyo.
Alisema kwa siku mbili mfululizo Machi 30 na 31 mwaka huu, watumishi wa TRA mjini Moshi walikaa ofisini hadi saa nne za usiku wakiendelea kutoa huduma kwa wafanyabiashara waliojitokeza kwa wingi kulipa kodi kabla ya Machi 31 kumalizika.
Alitoa wito kwa wafanyabiashara kuacha tabia ya kujitokeza tarehe za mwisho za ulipaji wa kodi ili kuepuka kutozwa faini kwani hali hiyo inasababisha msongamano wa walipakodi na kiwakwamisha watumishi wa mamlaka hiyo kutoa huduma bora.
Gabriel alisema ili kuepuka misongamano isiyokuwa na ulazima na kuzuia kuenea kwa maambukizi ya corona katika ofisi za TRA na benki, wafanyabiashara hawanabudi kujenga utamaduni wa kulipa kodi kabla ya tarehe za mwisho.
Alisema TRA mkoani hapa imeendesha kampeni ya utoaji elimu na faida za ulipaji kodi na wafanyabiashara kuwa na mwamko wa kulipa kodi.
Gabriel alisema tishio la corona limesababisha kusitishwa kwa safari za watalii kuja kupanda Mlima Kilimanjaro na kutembelea hifadhi wanyamapori, hivyo kuathiri biashara ya utalii kwani hata hoteli za kitalii zimepunguza ama kuwaondoa wafanyakazi wanaotoa huduma kwa wageni wa utalii.
Alisema amefanya ukaguzi katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) na kubaini hakuna ndege yoyote kutoka mataifa ya nje wanaokuja kufanya utalii isipokuwa ndege zinaotoa huduma za kusafirisha abiria wa ndani.
NIPASHE
Siku zote TRA wanalenga kukusanya zaidi, so wanavyosema wamekusanya 85% ya malengo yao despite ya izo biashara zilizofungwa ni mafanikio makubwaSi inategemea na ukubwa wa lengo. Imagine 10b ndio 85%
Huyu aliwahi kusifiwa na mkulu kipindi akiwa boss msaidizi na aka recommend apandishwe cheo,matokeo yake ndio haya tunajionea.Huyu meneja TRA anakomoa Sana wafanyabiashara wa Kilimanjaro sijui katumwa na shwtani had watu wamefilisika kosa la ku negotiate anapiga fine za kukomoa sijui anataka apandishwe cheo, ona Sasa watu wanafunga biashara.
Sent using Jamii Forums mobile app
Vijana wa TRA wanataka wafanye kazi mwaka mmoja tu then wanunue Bmw 7 series za 2010.sasa tra ni umeenda kula kodi unaambiwa umenunua mashine mnaanza ugomvi wa badala ya kulipa kodi ,sa ivi watu wanafunga biashara tra ni shida vijana rushwa mpaka imekuwa kero
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu aliwahi kusifiwa na mkulu kipindi akiwa boss msaidizi na aka recommend apandishwe cheo,matokeo yake ndio haya tunajionea.
sasa tra ni umeenda kula kodi unaambiwa umenunua mashine mnaanza ugomvi wa badala ya kulipa kodi ,sa ivi watu wanafunga biashara tra ni shida vijana rushwa mpaka imekuwa kero
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa wakifunga biashara wote hell itatoka wapi?,,makadilio ya kukomoana hayafai ingekuwa China huyo meneja ananyongwa kwa hujuma.