Wafahamu malaika na kazi zao

Wafahamu malaika na kazi zao

Wale wenye elimu zaidi watasaidia
1.Jibril ni malaika mwenye nguvu ana mabawa 600,Alihusika kuuangamiza mji aliokuwa na laana alioishi nabii luut,mbwawa zake akikunjua zinafika kusini na kaskazini mwa dunia
2.Mikail huyu ni malaika mwenye hadhi ya juu sana anahusika zaidi na ulinzi wa anga mambo yote ya hali ya hewa anahusika NATO
3.Israfil huyu ndio malaika atakaye piga paragumu siku ya kiyama..
4.Maalik ni mkubwa wa walinzi wa malaika walio motoni... Jehanam
5.Ridhwaan huyu ni mkubwa wa walinzi wa peponi
6.Munkaar na Nakir hawa wanahusika na kuuliza maswali kaburini...mwenyezi Mungu hatuepushe na adhabu ya kabur
7.Izrail huyu ni malaika mtoa roho
8.Raqiid na Atiid hawa wanahusika kuandika mema na mabaya ya binadamu kila ulipo wapo...
NB..nitaendelea ....
Nikuongezee tu.Archangel Michael lives in the sun
 
Wale wenye elimu zaidi watasaidia
1.Jibril ni malaika mwenye nguvu ana mabawa 600,Alihusika kuuangamiza mji aliokuwa na laana alioishi nabii luut,mbwawa zake akikunjua zinafika kusini na kaskazini mwa dunia
2.Mikail huyu ni malaika mwenye hadhi ya juu sana anahusika zaidi na ulinzi wa anga mambo yote ya hali ya hewa anahusika NATO
3.Israfil huyu ndio malaika atakaye piga paragumu siku ya kiyama..
4.Maalik ni mkubwa wa walinzi wa malaika walio motoni... Jehanam
5.Ridhwaan huyu ni mkubwa wa walinzi wa peponi
6.Munkaar na Nakir hawa wanahusika na kuuliza maswali kaburini...mwenyezi Mungu hatuepushe na adhabu ya kabur
7.Izrail huyu ni malaika mtoa roho
8.Raqiid na Atiid hawa wanahusika kuandika mema na mabaya ya binadamu kila ulipo wapo...
NB..nitaendelea ....
As far as I know
1. Michael is an Angel in charge of humankind and Nations,
2. Gabriel (Jibril) is an Angel in charge of the serpent,the garden and the Cherubins,
3.Uriel is an Angel in charge of the Spirits of Men,
4. Raquel is an Angel in charge of vengeance on the world and on lights,
5. Saraquel is an Angel in charge of spirits of Men,
6.:Raphael is an Angel in charge of.......(IKIRIRI malizia),
7. Fanuel is an Angel in charge of......(IKIRIRI malizia),
8. Etc, etc.
Wale wenye elimu zaidi watasaidia
1.Jibril ni malaika mwenye nguvu ana mabawa 600,Alihusika kuuangamiza mji aliokuwa na laana alioishi nabii luut,mbwawa zake akikunjua zinafika kusini na kaskazini mwa dunia
2.Mikail huyu ni malaika mwenye hadhi ya juu sana anahusika zaidi na ulinzi wa anga mambo yote ya hali ya hewa anahusika NATO
3.Israfil huyu ndio malaika atakaye piga paragumu siku ya kiyama..
4.Maalik ni mkubwa wa walinzi wa malaika walio motoni... Jehanam
5.Ridhwaan huyu ni mkubwa wa walinzi wa peponi
6.Munkaar na Nakir hawa wanahusika na kuuliza maswali kaburini...mwenyezi Mungu hatuepushe na adhabu ya kabur
7.Izrail huyu ni malaika mtoa roho
8.Raqiid na Atiid hawa wanahusika kuandika mema na mabaya ya binadamu kila ulipo wapo...
NB..nitaendelea ....
As far as I know
1. Michael is an Angel in charge of humankind and Nations,
2. Gabriel (Jibril) is an Angel in charge of the serpent,the garden and the Cherubins,
3.Uriel is an Angel in charge of the Spirits of Men,
4. Raquel is an Angel in charge of vengeance on the world and on lights,
5. Saraquel is an Angel in charge of spirits of Men,
6.:Raphael is an Angel in charge of.......(IKIRIRI malizia),
7. Fanuel is an Angel in charge of......(IKIRIRI malizia),
8. Etc, etc.
 
Wale wenye elimu zaidi watasaidia
1.Jibril ni malaika mwenye nguvu ana mabawa 600,Alihusika kuuangamiza mji aliokuwa na laana alioishi nabii luut,mbwawa zake akikunjua zinafika kusini na kaskazini mwa dunia
2.Mikail huyu ni malaika mwenye hadhi ya juu sana anahusika zaidi na ulinzi wa anga mambo yote ya hali ya hewa anahusika NATO
3.Israfil huyu ndio malaika atakaye piga paragumu siku ya kiyama..
4.Maalik ni mkubwa wa walinzi wa malaika walio motoni... Jehanam
5.Ridhwaan huyu ni mkubwa wa walinzi wa peponi
6.Munkaar na Nakir hawa wanahusika na kuuliza maswali kaburini...mwenyezi Mungu hatuepushe na adhabu ya kabur
7.Izrail huyu ni malaika mtoa roho
8.Raqiid na Atiid hawa wanahusika kuandika mema na mabaya ya binadamu kila ulipo wapo...
NB..nitaendelea ....

Mkuu umeziiba wapi hizo nyaraka nyeti? maana FBI,CIA na TISS wanashindwa kuzipata
 
Ni uongo tuu hamna kitu hapo...et mabawa kusini na kaskazini mwa dunia inamaana mmoja tuu anafunika dunia nzima sasa kama walikuja watatu sijui itakuaje!

Tuache akili za kushikiwa
Inamaana hata Izlail,mikail na jibril hujawahi kuwasikia? Mbona kwenye mafundisho yenu mnawachora mkuu...sasa huku kwetu Quran na hadithi za Mtume S.w hazijaacha kitu ..imeeleza malaika wote na kazi zao .. Haikuishia kuwataja tu
 
Wale wenye elimu zaidi watasaidia
1.Jibril ni malaika mwenye nguvu ana mabawa 600,Alihusika kuuangamiza mji aliokuwa na laana alioishi nabii luut,mbwawa zake akikunjua zinafika kusini na kaskazini mwa dunia
2.Mikail huyu ni malaika mwenye hadhi ya juu sana anahusika zaidi na ulinzi wa anga mambo yote ya hali ya hewa anahusika NATO
3.Israfil huyu ndio malaika atakaye piga paragumu siku ya kiyama..
4.Maalik ni mkubwa wa walinzi wa malaika walio motoni... Jehanam
5.Ridhwaan huyu ni mkubwa wa walinzi wa peponi
6.Munkaar na Nakir hawa wanahusika na kuuliza maswali kaburini...mwenyezi Mungu hatuepushe na adhabu ya kabur
7.Izrail huyu ni malaika mtoa roho
8.Raqiid na Atiid hawa wanahusika kuandika mema na mabaya ya binadamu kila ulipo wapo...
NB..nitaendelea ....
Huenda imeelezwa hivyo katika Uislam.
Hakuna sabbu ya kubishana nawe.

Vile ninavyo fahamu mimi..

1. Malaika Mikael ni Jemedari mkuu wa vita..( hapa aliwahi msaidia Yesu wakati Akishindana na Wakuu wa Anga la Uajemi)
Imeandikwa katika kitabu cha Daniel..

2. Malaika Gabriel ..
Huyu ni Mjumbe wa Mungu alitumwa kwa mwanamwali Mariam Magdalena..

3. Lucifer (Ibirisi Shetani ) Aliyekuwa malaika mkuu wa sifa. Mbinguni.
.
[emoji830] Wapo malaika wengine wengi mfano kuna
Kundi la kwaya ya malaika mbinguni waliokuwa wakiimba

' wakati Yesu alipozaliwa Bethlehem'

[emoji830] Malaika wa Kuteketeza

Soma habari za Lutu..na mkewe katika sodoma na Gomola..

Pia Misri wakati wa mapigo ya Farao..!

[emoji830] Malaika walinzi Kuna mahali Yesu anazungumzia watoto wadogo kuwa malaika wao hukaa mara zote mbele ya uso wa Mungu..

[emoji830] Kikundi cha Malaika wa sifa..

Hawa huimba pamoja na wazee 24 mbinguni wakisema mtakatifu mtakatifu..


● mwisho kuna malaika wengi mbinguni na duniani wakiwa wamegawanyika katika majukumu tofauti japo sidhani kama wote majina yao yameandikwa kama hao wachache niliowataja..
Katika ukristo

Nb niko tayari kukosolewa ama kuongezewa palipo pungua..

Kuhusu Israel mtoa roho binafsi sijaona popote katika biblia ila najua Yakobo alishindana na Malaika kabla hajabadirishwa jina kuitwa Israel..
 
Huenda imeelezwa hivyo katika Uislam.
Hakuna sabbu ya kubishana nawe.

Vile ninavyo fahamu mimi..

1. Malaika Mikael ni Jemedari mkuu wa vita..( hapa aliwahi msaidia Yesu wakati Akishindana na Wakuu wa Anga la Uajemi)
Imeandikwa katika kitabu cha Daniel..

2. Malaika Gabriel ..
Huyu ni Mjumbe wa Mungu alitumwa kwa mwanamwali Mariam Magdalena..

3. Lucifer (Ibirisi Shetani ) Aliyekuwa malaika mkuu wa sifa. Mbinguni.
.
[emoji830] Wapo malaika wengine wengi mfano kuna
Kundi la kwaya ya malaika mbinguni waliokuwa wakiimba

' wakati Yesu alipozaliwa Bethlehem'

[emoji830] Malaika wa Kuteketeza

Soma habari za Lutu..na mkewe katika sodoma na Gomola..

Pia Misri wakati wa mapigo ya Farao..!

[emoji830] Malaika walinzi Kuna mahali Yesu anazungumzia watoto wadogo kuwa malaika wao hukaa mara zote mbele ya uso wa Mungu..

[emoji830] Kikundi cha Malaika wa sifa..

Hawa huimba pamoja na wazee 24 mbinguni wakisema mtakatifu mtakatifu..


● mwisho kuna malaika wengi mbinguni na duniani wakiwa wamegawanyika katika majukumu tofauti japo sidhani kama wote majina yao yameandikwa kama hao wachache niliowataja..
Katika ukristo

Nb niko tayari kukosolewa ama kuongezewa palipo pungua..

Kuhusu Israel mtoa roho binafsi sijaona popote katika biblia ila najua Yakobo alishindana na Malaika kabla hajabadirishwa jina kuitwa Israel..
Mi nimekuelewa sana mkuu...BT kuna MTU ye anabisha kila kitu...amesahau huko kwenye biblia wametajwa
 
Huenda imeelezwa hivyo katika Uislam.
Hakuna sabbu ya kubishana nawe.

Vile ninavyo fahamu mimi..

1. Malaika Mikael ni Jemedari mkuu wa vita..( hapa aliwahi msaidia Yesu wakati Akishindana na Wakuu wa Anga la Uajemi)
Imeandikwa katika kitabu cha Daniel..

2. Malaika Gabriel ..
Huyu ni Mjumbe wa Mungu alitumwa kwa mwanamwali Mariam Magdalena..

3. Lucifer (Ibirisi Shetani ) Aliyekuwa malaika mkuu wa sifa. Mbinguni.
.
[emoji830] Wapo malaika wengine wengi mfano kuna
Kundi la kwaya ya malaika mbinguni waliokuwa wakiimba

' wakati Yesu alipozaliwa Bethlehem'

[emoji830] Malaika wa Kuteketeza

Soma habari za Lutu..na mkewe katika sodoma na Gomola..

Pia Misri wakati wa mapigo ya Farao..!

[emoji830] Malaika walinzi Kuna mahali Yesu anazungumzia watoto wadogo kuwa malaika wao hukaa mara zote mbele ya uso wa Mungu..

[emoji830] Kikundi cha Malaika wa sifa..

Hawa huimba pamoja na wazee 24 mbinguni wakisema mtakatifu mtakatifu..


● mwisho kuna malaika wengi mbinguni na duniani wakiwa wamegawanyika katika majukumu tofauti japo sidhani kama wote majina yao yameandikwa kama hao wachache niliowataja..
Katika ukristo

Nb niko tayari kukosolewa ama kuongezewa palipo pungua..

Kuhusu Israel mtoa roho binafsi sijaona popote katika biblia ila najua Yakobo alishindana na Malaika kabla hajabadirishwa jina kuitwa Israel..
Unaongea ujinga tuu
 
Jibril akiwa kwenye muonekano alisi yuko hivo ...BT akija duniani anakuwa kawaida ...km alivyomtokea Mariam
Ulimwona akiwa na mbawa 600, kuna dini zimejengwa kwenye misingi ya uongo na ulaghai mkubwa.
 
Inamaana hata Izlail,mikail na jibril hujawahi kuwasikia? Mbona kwenye mafundisho yenu mnawachora mkuu...sasa huku kwetu Quran na hadithi za Mtume S.w hazijaacha kitu ..imeeleza malaika wote na kazi zao .. Haikuishia kuwataja tu
Hatuna habari na huyo Israel
 
Huenda imeelezwa hivyo katika Uislam.
Hakuna sabbu ya kubishana nawe.

Vile ninavyo fahamu mimi..

1. Malaika Mikael ni Jemedari mkuu wa vita..( hapa aliwahi msaidia Yesu wakati Akishindana na Wakuu wa Anga la Uajemi)
Imeandikwa katika kitabu cha Daniel..

2. Malaika Gabriel ..
Huyu ni Mjumbe wa Mungu alitumwa kwa mwanamwali Mariam Magdalena..

3. Lucifer (Ibirisi Shetani ) Aliyekuwa malaika mkuu wa sifa. Mbinguni.
.
[emoji830] Wapo malaika wengine wengi mfano kuna
Kundi la kwaya ya malaika mbinguni waliokuwa wakiimba

' wakati Yesu alipozaliwa Bethlehem'

[emoji830] Malaika wa Kuteketeza

Soma habari za Lutu..na mkewe katika sodoma na Gomola..

Pia Misri wakati wa mapigo ya Farao..!

[emoji830] Malaika walinzi Kuna mahali Yesu anazungumzia watoto wadogo kuwa malaika wao hukaa mara zote mbele ya uso wa Mungu..

[emoji830] Kikundi cha Malaika wa sifa..

Hawa huimba pamoja na wazee 24 mbinguni wakisema mtakatifu mtakatifu..


● mwisho kuna malaika wengi mbinguni na duniani wakiwa wamegawanyika katika majukumu tofauti japo sidhani kama wote majina yao yameandikwa kama hao wachache niliowataja..
Katika ukristo

Nb niko tayari kukosolewa ama kuongezewa palipo pungua..

Kuhusu Israel mtoa roho binafsi sijaona popote katika biblia ila najua Yakobo alishindana na Malaika kabla hajabadirishwa jina kuitwa Israel..
hao wazee 24 wanawake ni wangapi na wanaume ni wangapi?
 
Back
Top Bottom