Wale wenye elimu zaidi watasaidia
1.Jibril ni malaika mwenye nguvu ana mabawa 600,Alihusika kuuangamiza mji aliokuwa na laana alioishi nabii luut,mbwawa zake akikunjua zinafika kusini na kaskazini mwa dunia
2.Mikail huyu ni malaika mwenye hadhi ya juu sana anahusika zaidi na ulinzi wa anga mambo yote ya hali ya hewa anahusika NATO
3.Israfil huyu ndio malaika atakaye piga paragumu siku ya kiyama..
4.Maalik ni mkubwa wa walinzi wa malaika walio motoni... Jehanam
5.Ridhwaan huyu ni mkubwa wa walinzi wa peponi
6.Munkaar na Nakir hawa wanahusika na kuuliza maswali kaburini...mwenyezi Mungu hatuepushe na adhabu ya kabur
7.Izrail huyu ni malaika mtoa roho
8.Raqiid na Atiid hawa wanahusika kuandika mema na mabaya ya binadamu kila ulipo wapo...
NB..nitaendelea ....
As far as I know
1. Michael is an Angel in charge of humankind and Nations,
2. Gabriel (Jibril) is an Angel in charge of the serpent,the garden and the Cherubins,
3.Uriel is an Angel in charge of the Spirits of Men,
4. Raquel is an Angel in charge of vengeance on the world and on lights,
5. Saraquel is an Angel in charge of spirits of Men,
6.:Raphael is an Angel in charge of.......(IKIRIRI malizia),
7. Fanuel is an Angel in charge of......(IKIRIRI malizia),
8. Etc, etc.
Wale wenye elimu zaidi watasaidia
1.Jibril ni malaika mwenye nguvu ana mabawa 600,Alihusika kuuangamiza mji aliokuwa na laana alioishi nabii luut,mbwawa zake akikunjua zinafika kusini na kaskazini mwa dunia
2.Mikail huyu ni malaika mwenye hadhi ya juu sana anahusika zaidi na ulinzi wa anga mambo yote ya hali ya hewa anahusika NATO
3.Israfil huyu ndio malaika atakaye piga paragumu siku ya kiyama..
4.Maalik ni mkubwa wa walinzi wa malaika walio motoni... Jehanam
5.Ridhwaan huyu ni mkubwa wa walinzi wa peponi
6.Munkaar na Nakir hawa wanahusika na kuuliza maswali kaburini...mwenyezi Mungu hatuepushe na adhabu ya kabur
7.Izrail huyu ni malaika mtoa roho
8.Raqiid na Atiid hawa wanahusika kuandika mema na mabaya ya binadamu kila ulipo wapo...
NB..nitaendelea ....
As far as I know
1. Michael is an Angel in charge of humankind and Nations,
2. Gabriel (Jibril) is an Angel in charge of the serpent,the garden and the Cherubins,
3.Uriel is an Angel in charge of the Spirits of Men,
4. Raquel is an Angel in charge of vengeance on the world and on lights,
5. Saraquel is an Angel in charge of spirits of Men,
6.:Raphael is an Angel in charge of.......(IKIRIRI malizia),
7. Fanuel is an Angel in charge of......(IKIRIRI malizia),
8. Etc, etc.