tatanyengo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2011
- 1,134
- 280
Wananchi waliofurika katika mji wa Bunda wakiwa safarini kwenda kupata tiba huko Loilondo wanaandamana kwenda kwa mkuu wa wilaya wakipinga utaratibu wa kupata vibali. Wananchi hao waliotoka maeneo mbalimbali kanda ya ziwa wanalalamikia rushwa iliyokithiri katika utoaji wa vibari vya kwenda Samunge.Wanadai magari yanayopewa vibali ni ya matajiri wa Bunda na kuwaacha waliotoka maeneo mengine wakisota.