AZUSA STREET
JF-Expert Member
- Oct 31, 2013
- 2,007
- 1,898
Kuna comment nimesoma sehemu watu wanabishana kuhusu kabila la wahehe, walikuwa wakijadili asili ya Mtwa Mkwawa. wengine wanasema Mkwawa alikuwa na asili ya kiarabu/chotara, wengine wakasema alikuwa mweusi tu lakini waarabu walikuja kumsilimisha ndio maana ukoo wa kina mkwawa hadi leo wote ni waislam.
mwingine akasema wahehe asilia ni watu wanaoitwa WAdzungwa. hawa wadzungwa kwa ninavyojua historia ni watu ambao hawakupigana kabisa hata vita kwasababu walikuwa maporini huko milima ya udzungwa kilolo. na hata kihehe chao ni tofauti na kihehe cha watu kama wa mufindi, isimani n.k.
kwa manufaa ya historia, hebu wajuzi tuambizane.
1. watu asilia kabisa wa iringa ni wepi?
2. wadzungwa wana asili ya wapi?
mwingine akasema wahehe asilia ni watu wanaoitwa WAdzungwa. hawa wadzungwa kwa ninavyojua historia ni watu ambao hawakupigana kabisa hata vita kwasababu walikuwa maporini huko milima ya udzungwa kilolo. na hata kihehe chao ni tofauti na kihehe cha watu kama wa mufindi, isimani n.k.
kwa manufaa ya historia, hebu wajuzi tuambizane.
1. watu asilia kabisa wa iringa ni wepi?
2. wadzungwa wana asili ya wapi?