Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,650
- 218,106
Kauli iliyotolewa na Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania Simon Sirro , kwamba hakuna yeyote atakayefanya Uhalifu nchini Tanzania ambaye Jeshi lake litashindwa kumdaka , imezua mjadala mkubwa mitaani , huku wananchi wengi wakimpinga vibaya sana .
Watu wengi wanahoji kama ni kweli kwamba Mh IGP hajanukuliwa vibaya , basi bila shaka atakuwa anasema uongo , wadau wengi wanahoji kama kauli ya IGP ingekuwa ya kweli basi hadi sasa WALIOMSHAMBULIA TUNDU LISSU MIAKA 5 ILIYOPITA WANGEKUWA JELA , wengine wanasema hata wale WAZUNGU WAWILI WALIOONEKANA KWENYE CCTV CAMERA wakimteka MO , hivi sasa wangekuwa wako Segerea .
Vinginevyo kauli ya IGP Ichukuliwe kama kauli ya utani tu kama ule ule wa siku zote
Watu wengi wanahoji kama ni kweli kwamba Mh IGP hajanukuliwa vibaya , basi bila shaka atakuwa anasema uongo , wadau wengi wanahoji kama kauli ya IGP ingekuwa ya kweli basi hadi sasa WALIOMSHAMBULIA TUNDU LISSU MIAKA 5 ILIYOPITA WANGEKUWA JELA , wengine wanasema hata wale WAZUNGU WAWILI WALIOONEKANA KWENYE CCTV CAMERA wakimteka MO , hivi sasa wangekuwa wako Segerea .
Vinginevyo kauli ya IGP Ichukuliwe kama kauli ya utani tu kama ule ule wa siku zote