Synod
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 4,091
- 4,028
Mkuu finishing anazo, ile ngumi yake na spear, sema pumzi haimtoshiKinachomkost jamaa hana pumzi, anachoka haraka...... Alaf hana finishing ya uhakika
Mkuu finishing anazo, ile ngumi yake na spear, sema pumzi haimtoshiKinachomkost jamaa hana pumzi, anachoka haraka...... Alaf hana finishing ya uhakika
Mkuu finishing anazo, ile ngumi yake na spear, sema pumzi haimtoshiKinachomkost jamaa hana pumzi, anachoka haraka...... Alaf hana finishing ya uhakika
Tatizo amekopi post ya sku nyingi..... Kabla hawajakutana kwenye WRESTLEMANIAhiyo namba 5. utakuwa uliangalia kwa makengeza seth ndie alieshinda.
Miz alikuwa anaomba huruma... Ahurumiwe... Eti Seth kamliza mke wake binti yake na yenye pia........ Hata hivyo Nimefurahi sana kumwona Jeff HardyNaona. Jeff hardy ana unyemwelsa Mkanda wa intercontinental wa Seth
IPO hiv unapoenda Ku cash in, wewe Mwenye briefcase ukipigwa Mzigo wote ulioshinda kipindi hicho, unampa mwenzio, ila ukishinda unachukua mkanda na Hela zako unaendelea kubaki Nazo brificase huwa ni nembo tu inawekwa pale kuweka uhalisiaHivi baada ya Ku cash in ile briefcase anabaki nayo Charlotte au inarudi WWE
Kwa Mwaka Mara Moja kila mwez WA nneKwan WRESTLEMANIA ni baada ya kila muda gani?
Hata finishing ya lesnar nayo ya kindezi maana huwezi kumpiga Roman F5s sita na suplex zisizo na idad ndo apate ushindiReigns bongo lala kabisa ana style moja ya kushinda ya super man punch akijitaidi spear(ambayo ipo kitambo).hana akili na hajui kupambana.royal rumble kama kawaida mnyama brock lesnar atamla kiboga.atampiga mpaka aue.suplex na f5 za kutosha.pambav
Mixed martial ArtsMMA n nn
Bora useme Wewe.... Nikisema Mimi naambiwa ushabiki . CC BehavioristReigns bongo lala kabisa ana style moja ya kushinda ya super man punch akijitaidi spear(ambayo ipo kitambo).hana akili na hajui kupambana.royal rumble kama kawaida mnyama brock lesnar atamla kiboga.atampiga mpaka aue.suplex na f5 za kutosha.pambav
Sasa boss ile hela yangu vip!!!!! Au tusubiri marudiano kwenye greatest Royal rumble
Samoah Joe saiz yake ni kina Rusev, Jindal Mahal, Boby Roode na Big E wa new dayNaona Roman reigns kapata saiz yake...... Saiz yake ni kina samoe joh.... Kule kwa kina Brock Lesnar anaforce to hapawezi
finishing ya maumivu ile, yaani ikikupata lazima 'skull' icheze na mnara upoteeHakuna kitu kilichonifurahisha kama Baron Corbin kuja raw kwani hakuna finishing ninayoipenda kama end of the day!