Wadau wa Mitindo: Umevaa Kiatu gani Leo?

Wadau wa Mitindo: Umevaa Kiatu gani Leo?

Kama mimi tu
Ila mossimo hapana this is 2026 we level up
Aah nilishaachaga kitambo 2023 I think
Napemba mtumba mie
Pia boots/travolta ndo mikato yangu sikuhiz unless siku za jpil heels 🤣🤣
 

Attachments

  • Screenshot_20260525_110524_Pinterest.jpg
    Screenshot_20260525_110524_Pinterest.jpg
    246.2 KB · Views: 2
Hili ni agizo
Iwe mwisho kuvaa mossimo 🤣🤣🤣🤣
Sasa hv tumehamia kwenye ballerina shoes
Ninavyo pia napitwaje ila Kazini sasa siwezi kuvivaa kila sikušŸ˜‚
 
Yes nzuri mnoo nina tracksuit yake nililetewa kutoka mamtoni ni nzuri sana
Nina heels yake nilinunu 70k
Aisee ina km 6 yrs now ndo imechoka tena kwa kuchubuka tu rangi maana nilinunua silver hatari
Yule dada anaishi Belgium alikuwa na duka karibu na mwenge
 
Back
Top Bottom