Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 45,825
- 113,411
Warrior
Hakika, sema pensj Hapana miguu membamba mno.Hizo low unavaa na chochote. Pensi jeans traki
Kimesharudisha faida
Nakulipa mkuu, hizi ninazo pair nyingi mno, dah! Ukiwa busy unashindwa pangilia unavaa vilivyopo karibu. Nina trouser mbili na tishert tatu, ni hizo hizo narudi rudi mara nyingi kama sina nguo nyingine na nina viatu ambavyo havinibanduki kila siku ni hivyo hivyo. Nadhani ukiwa na mwenza anayejua kuvaa, kila siku asubuh unapiga mitoko ya kitofauti.
Naunga mkono hojaMkuu siku ukianzisha uzi wa watembea peku,unitag.
Naona tumesahauliwa mkuu.Naunga mkono hoja
Bwashee hii mechi ni Home au Away?
Bwashee hii mechi ni home , mlokole kayatimba bwasheeBwashee hii mechi ni Home au Away?
Bwashee unajua nilitaka kukuuliza kua hivyo viatu vya kike mbona ni vya walokole?Bwashee hii mechi ni home , mlokole kayatimba bwashee
Hahaha walokole ni UTI tu bwasheeBwashee unajua nilitaka kukuuliza kua hivyo viatu mbona ni vya walokole?
Ilanajua hupatani na walokole,so huyo hawezi kua mlokole.
Tatizo linalonisumbua mimi nina madogo wawili. Wanakuja home Ijumaa, wanarudi hostel jumapili, wakiondoka lazima pair 2 za viatu nisione. Ndio ivyo utafanyeje sasa.Nakulipa mkuu, hizi ninazo pair nyingi mno, dah! Ukiwa busy unashindwa pangilia unavaa vilivyopo karibu. Nina trouser mbili na tishert tatu, ni hizo hizo narudi rudi mara nyingi kama sina nguo nyingine na nina viatu ambavyo havinibanduki kila siku ni hivyo hivyo. Nadhani ukiwa na mwenza anayejua kuvaa, kila siku asubuh unapiga mitoko ya kitofauti.