Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 19,717
- 62,667
Nani huyoo.Yaani sikumtegemea kabisaa.!! Tatizo kasahau hao anaowatuma wanavujisha siri.
Umesema kweli huyo ni mtu mzima nashangaa anavyojifanya naye teenager!! Mbona kina Gramhs hawana pigo hizo? Hebu ajifunze kwao basi.
Yeye ndio mdhamini na kuna sehemu anahamasisha. Sijui anatafuta nini haswaah??
Siwezi😃😃Kunjua vidole masta
SawaSiwezi😃😃
Tajiri una guu la bia 😎 😍
Ah wapiTajiri una guu la bia 😎 😍
Nimeliona hapo tajiri 😎Ah wapi
Sawa buanaNimeliona hapo tajiri 😎
Boss gani tena kiongozi?Boss kama boss
Hicho kiatu mkuu sio poaBoss gani tena kiongozi?
Huo ni utege wa kukabia mwanaume mgongo kwenye kifo cha mende
Haha nijaribu huo mkao unaousemea hapa nimeishia kucheka😅😅😅Huo ni utege wa kukabia mwanaume mgongo kwenye kifo cha mende
Shida ya macho sasa, yanaona vyote
Mguu na paja vinafanana
Cha kawaida kiongoziHicho kiatu mkuu sio poa