koncho77
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 7,790
- 10,374
Sio huruma ni uonevuWatu type la Lesnar hawawezi kupendwa na watu wanaoona huruma sana
Sio huruma ni uonevuWatu type la Lesnar hawawezi kupendwa na watu wanaoona huruma sana
Matokea Ya MITB Leo
The Usos (Jey Uso and Jimmy Uso) defeated Daniel Bryan and Rowan
Bayley won the Women's Money in the Bank ladder match
Rey Mysterio defeated Samoa Joe (c) to become the new United States Champion
Shane McMahon defeated The Miz by escaping the cage
Tony Nese (c) defeated Ariya Daivari to retain the WWE Cruiserweight Championship
Becky Lynch (c) defeated Lacey Evans to retain the WWE Raw Women's Championship
Charlotte Flair defeated Becky Lynch (c) to win the WWE SmackDown Women's Championship
Bayley cashed in the Money in the Bank and defeated Charlotte Flair to win WWE SmackDown Women's Championship
Roman Reigns defeated Elias
Seth Rollins (c) defeated AJ Styles to retain the WWE Universal Championship
Kofi Kingston (c) defeated Kevin Owens to retain the WWE Championship
Brock Lesnar wins the Men's Money in the Bank Ladder Match
Reign ana mabifu yasiyo ya faida na McMahon hawezi kuingia hapaAtacash inn kwa Seth rollins ila Roman reign atakufa nae!
Reign ana mabifu yasiyo ya faida na McMahon hawezi kuingia hapa
Lesnar hana sababu ya kudekadeka ili ww umpende yeye anachojua ni kutoa kichapo tu.na ndio maana tupo mashabiki wake tunaomkubali kuliko MTU yoyote wwe.huyu faza anaga cha msalia mtume anatoa dozi mpka unafurahi.na Seth na Kofi wajiandaeHivi itatokea siku nimpende Lesner???
Hakuna wa kumpiga lesnar pale.alikua anakaa miezi mitatu haonekani wakina roman reigns,Braun strawman,Sam Joe inapigana kila wiki yeye yupo jiji LA network na majiji mengine anapiga gahawa lakini akija uwanjani aalikua anawakalishaLesnar ni jinga flani hivi, Mashabiki wengi wa wwe wameshamchoka. We mtu ana mkanda lakini anainekana kwa mwezi mara moja. Wakati wenzie wa kishika huo mkanda kila show wanatokea na mnapata burdani murua kabisa.
Pia camela na r truth ni combination nzuri.r truth anachekesha sana na pumba zake24/7 title very Interesting sana...
Brown na samoe hajawahi kupigana nao.Hakuna wa kumpiga lesnar pale.alikua anakaa miezi mitatu haonekani wakina roman reigns,Braun strawman,Sam Joe inapigana kila wiki yeye yupo jiji LA network na majiji mengine anapiga gahawa lakini akija uwanjani aalikua anawakalisha
Àndaa sanda za kumzika Seth rolings.alishinda kwa ujanja ujanja dhidi ya the beast buroooooook lesnaaaaaaaa.Seth rollins ni mtu hatari sana kama ameweza kukipiga hiki chuma cha pua-AJ Styles!
Aleister blackJamaa namkubaliView attachment 1109030
Kwa Koffi hawezi kushindaLesnar hana sababu ya kudekadeka ili ww umpende yeye anachojua ni kutoa kichapo tu.na ndio maana tupo mashabiki wake tunaomkubali kuliko MTU yoyote wwe.huyu faza anaga cha msalia mtume anatoa dozi mpka unafurahi.na Seth na Kofi wajiandae
Aleister black
Huyo ni fala tu