Wadau wa mchezo wa mieleka (wrestling)

Lesnar ni jinga flani hivi, Mashabiki wengi wa wwe wameshamchoka. We mtu ana mkanda lakini anainekana kwa mwezi mara moja. Wakati wenzie wa kishika huo mkanda kila show wanatokea na mnapata burdani murua kabisa.
 
Safi saana aisee

Nilishangaa sana Rey Mysterio alivyomkunja Samoa Joe

Roman Reign pia alifurahisha sana .

Nasubiria mapambano ya 7 June.
Matokea Ya MITB Leo

The Usos (Jey Uso and Jimmy Uso) defeated Daniel Bryan and Rowan

Bayley won the Women's Money in the Bank ladder match

Rey Mysterio defeated Samoa Joe (c) to become the new United States Champion

Shane McMahon defeated The Miz by escaping the cage

Tony Nese (c) defeated Ariya Daivari to retain the WWE Cruiserweight Championship

Becky Lynch (c) defeated Lacey Evans to retain the WWE Raw Women's Championship

Charlotte Flair defeated Becky Lynch (c) to win the WWE SmackDown Women's Championship

Bayley cashed in the Money in the Bank and defeated Charlotte Flair to win WWE SmackDown Women's Championship

Roman Reigns defeated Elias

Seth Rollins (c) defeated AJ Styles to retain the WWE Universal Championship

Kofi Kingston (c) defeated Kevin Owens to retain the WWE Championship

Brock Lesnar wins the Men's Money in the Bank Ladder Match
 
Roman alikua anabebwa sana ila uwezo mdogo kina Vince wameamua kumtema ndio maana sahv yupo kwenye size yake ni elayas
 
Hivi itatokea siku nimpende Lesner???
Lesnar hana sababu ya kudekadeka ili ww umpende yeye anachojua ni kutoa kichapo tu.na ndio maana tupo mashabiki wake tunaomkubali kuliko MTU yoyote wwe.huyu faza anaga cha msalia mtume anatoa dozi mpka unafurahi.na Seth na Kofi wajiandae
 
Lesnar ni jinga flani hivi, Mashabiki wengi wa wwe wameshamchoka. We mtu ana mkanda lakini anainekana kwa mwezi mara moja. Wakati wenzie wa kishika huo mkanda kila show wanatokea na mnapata burdani murua kabisa.
Hakuna wa kumpiga lesnar pale.alikua anakaa miezi mitatu haonekani wakina roman reigns,Braun strawman,Sam Joe inapigana kila wiki yeye yupo jiji LA network na majiji mengine anapiga gahawa lakini akija uwanjani aalikua anawakalisha
 
Hakuna wa kumpiga lesnar pale.alikua anakaa miezi mitatu haonekani wakina roman reigns,Braun strawman,Sam Joe inapigana kila wiki yeye yupo jiji LA network na majiji mengine anapiga gahawa lakini akija uwanjani aalikua anawakalisha
Brown na samoe hajawahi kupigana nao.
Pambana lake na brown liliharibiwa na yule meneja
 
Jamaa namkubali
IMG_20190525_213757_204.jpeg
 
Lesnar hana sababu ya kudekadeka ili ww umpende yeye anachojua ni kutoa kichapo tu.na ndio maana tupo mashabiki wake tunaomkubali kuliko MTU yoyote wwe.huyu faza anaga cha msalia mtume anatoa dozi mpka unafurahi.na Seth na Kofi wajiandae
Kwa Koffi hawezi kushinda
 
Back
Top Bottom