Mahojiano na Mkurugenzi Mkazi- USAID Tanzania
Mahojiano haya yanadhihirisha jinsi wadau wa maendeleo wa Tanzania huwa wanajitahidi sana kutufahamua kihistoria, kitamaduni na kijamii ili waweze kufanya mashirikiano yenye mguso.
Tujiulize kwetu Tanzania tunapowapeleka mabalozi, wataalamu wa mikataba, wataalamu wa kushawishi n.k huwa wanakuwa na uelewa mpana kama wenzetu wadau wa maendeleo toka mataifa ya nje.
Nimesikiliza kwa kina mahojiano haya toka mwanzo mpaka mwisho na kubaini umuhimu wa kuwa na watu wetu waliobobea ili wakienda nje au kukaribisha wageni wawe wa sekta ya gesi, nishati, mashirikiano ya kimataifa, mikataba , kujieleza n.k waoneshe kweli wameiva na siyo wababaishaji wanaoweza kukosa weledi katika kutekeleza majukumu yao kwa manufaa ya nchi
READ MORE : Why we remain invisible in global community https://www.thecitizen.co.tz/oped/W...840568-3008286-format-xhtml-4g5ken/index.html
Mahojiano haya yanadhihirisha jinsi wadau wa maendeleo wa Tanzania huwa wanajitahidi sana kutufahamua kihistoria, kitamaduni na kijamii ili waweze kufanya mashirikiano yenye mguso.
Tujiulize kwetu Tanzania tunapowapeleka mabalozi, wataalamu wa mikataba, wataalamu wa kushawishi n.k huwa wanakuwa na uelewa mpana kama wenzetu wadau wa maendeleo toka mataifa ya nje.
Nimesikiliza kwa kina mahojiano haya toka mwanzo mpaka mwisho na kubaini umuhimu wa kuwa na watu wetu waliobobea ili wakienda nje au kukaribisha wageni wawe wa sekta ya gesi, nishati, mashirikiano ya kimataifa, mikataba , kujieleza n.k waoneshe kweli wameiva na siyo wababaishaji wanaoweza kukosa weledi katika kutekeleza majukumu yao kwa manufaa ya nchi
READ MORE : Why we remain invisible in global community https://www.thecitizen.co.tz/oped/W...840568-3008286-format-xhtml-4g5ken/index.html