S shemahenga Senior Member Jun 28, 2015 130 51 Mar 30, 2018 #1 simu yangu ya htc disire 320 muda mwingine inawaka na kutumia bila shida ila kuna muda inawaka na kurestart. Na ukiizima ukiweka chaji inajiwasha. Nafanyaje? Hili tatizo liishe.
simu yangu ya htc disire 320 muda mwingine inawaka na kutumia bila shida ila kuna muda inawaka na kurestart. Na ukiizima ukiweka chaji inajiwasha. Nafanyaje? Hili tatizo liishe.