Wadau wa kutengeneza simu.

shemahenga

Senior Member
Jun 28, 2015
130
51
simu yangu ya htc disire 320 muda mwingine inawaka na kutumia bila shida ila kuna muda inawaka na kurestart. Na ukiizima ukiweka chaji inajiwasha. Nafanyaje? Hili tatizo liishe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…