toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,631
Hii simu iliingia maji tena kidogo tu nikaiwahi na nikafanya vile inavyotakiwa simu ikiingia maji
Lakini toka imeingia maji nikiwasha haiwaki, hadi nikichomeka kwenye chaji itawaka na kuonyesha Logo kabisa baada ya muda itajizima then itarudia tena hivyo hivyo kuwaka kuzima tu inawaka hivyo na kuzima kisha inawaka tena na kuzima yaan itafanya hivyo muda wote ukiwa umechomeka chaji Hili tatzo ninini? Sehem gn itakua na shida Jee linaweza kusolvika hili?
Lakini toka imeingia maji nikiwasha haiwaki, hadi nikichomeka kwenye chaji itawaka na kuonyesha Logo kabisa baada ya muda itajizima then itarudia tena hivyo hivyo kuwaka kuzima tu inawaka hivyo na kuzima kisha inawaka tena na kuzima yaan itafanya hivyo muda wote ukiwa umechomeka chaji Hili tatzo ninini? Sehem gn itakua na shida Jee linaweza kusolvika hili?