habari za kutwa. Mbeya Rungwe 32000 per day baada ya kutoa 3000 chakula. je kwa waliopata sehemu zingine ni kiasi gani? naomba jibu wadau kwan tetesi ni nyingi sana
Jaman na nyie ameulza na ana hak ya kujbiwa we kama unajua mpe info mana wengne waweza lpwa juu ama chn afu iliwe juu kwa juu naomba funguken mlio na taarfa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.