malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 2,780
- 2,716
Wadau ushauri wenu nimepewa connection na ndugu yangu Kuna kigoli Kariakoo. Vipi wadau Sasa Kariakoo biashara kwa sasa ikoje nataka kuingia kuuza braa, chupi, tight za wadada za kuvaa na bana tumbo.
Napokea ushauri wenu wowote hata wa biashara mpya
Napokea ushauri wenu wowote hata wa biashara mpya