Boogman
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 2,402
- 5,498
Za jioni wadau?mm bint yng anataman kuingia jeshini kabla cjamkubalia nikaona niwashirikishe ili nipate uelewa ni nn haswa kazi ya wanajeshi wa kike jeshini ikiwa kwa umri wng c haba cjapata kuwaona mstar wa mbele vitani,karibuni kwa wenye uelewa nipate kuelewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app