franktemu123
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 1,400
- 1,451
Wadau mimi ni mtanzania ila kwa sasa nipo hapa Maryland,USA nasoma pia napiga kazi sehemu nilifikiria kuanzisha kama shule/chuo ya kufundisha mambo ya utalii huko home sasa natafuta fund huku so kwenye proposal yangu inabidi niandike details za Tourism Sector huko home kama kuna yoyote anaweza kunipa details zifuatazo
1. Je TZ tuna wataalamu wenye ujuzi wa kutosha ktk sekta ya Utalii(Kwenye vivutio vya Utalii(National Parks, Tour guides,mahotelini?
2. Kuna vyuo vingapi vinafundisha kozi za Utalii TZ?
3. Je tuna wakufunzi wazawa wenye sifa za kitaaluma zinazotambulika duniani?
3. Mapendekezo nini kifanyike kuondoa uhaba wa wakufunzi/watalaamu ktk sekta?
Mwenye Picha yoyote kwenye sekta ya Utalii iwe hotelini au Mbugani naomba anirushie kupitia franktemu123@yahoo.co.uk
Natanguliza Shukrani
1. Je TZ tuna wataalamu wenye ujuzi wa kutosha ktk sekta ya Utalii(Kwenye vivutio vya Utalii(National Parks, Tour guides,mahotelini?
2. Kuna vyuo vingapi vinafundisha kozi za Utalii TZ?
3. Je tuna wakufunzi wazawa wenye sifa za kitaaluma zinazotambulika duniani?
3. Mapendekezo nini kifanyike kuondoa uhaba wa wakufunzi/watalaamu ktk sekta?
Mwenye Picha yoyote kwenye sekta ya Utalii iwe hotelini au Mbugani naomba anirushie kupitia franktemu123@yahoo.co.uk
Natanguliza Shukrani