Mastamind
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 1,318
- 845
Wanduguz nisaidieni nina Kilaptop kile kidogo kisicho na CD Room aina ya Samsung kina window 7 ambayo ishakuwa attacked na virus km milioni hivi, Sasa kila nikijaribu Kuboot kwa kutumia external CD Room iliniweke window mpya nibonyeza f12 km kawaida haikubali inakuta inawaka tu km kawaida pia inapokua inawaka pale mwanzo inatoa option mbili tu za kubonyeza nazo ni f2-BIOS Setup na f4 - PC Recovery, ,,
Naombeni Msaada nifanyeje niweze kuweka window mpya?
Naombeni Msaada nifanyeje niweze kuweka window mpya?