Babchabi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2012
- 1,745
- 777
wote humu kwaza salam kwa wote
nimepata tatizo amabalo halijawahi kunitokea katika compyuta mi si fundi ila nachokonoa chokonoa kama mashine ni yangu hua najifanyia mwenyewe ila leo kwa hili limenishinda
tatizo nimewasha mashine ambayo ilikua na windows 7 kuwaaka tu imekuja start mara imetoweka imekaa blue screen na maandishi mengi nilifikiria kua labda hard disk imesha kufa nimeenda kununua mpya 500gb ya mwanzo ilikua 750gb nimeweka hiyo nilionunua 500gb nikafanya installation mpaka mwisho nikaanza kuweka driver kwa kutumia dvd la driver park solution haikufika 100% ilifika 85% IKAZIMIKA kuwasha imekuja tena blue screen angalieni hii picha nimejaribu tena haikukubali naomba msaada kwenu wadau.
nimepata tatizo amabalo halijawahi kunitokea katika compyuta mi si fundi ila nachokonoa chokonoa kama mashine ni yangu hua najifanyia mwenyewe ila leo kwa hili limenishinda
tatizo nimewasha mashine ambayo ilikua na windows 7 kuwaaka tu imekuja start mara imetoweka imekaa blue screen na maandishi mengi nilifikiria kua labda hard disk imesha kufa nimeenda kununua mpya 500gb ya mwanzo ilikua 750gb nimeweka hiyo nilionunua 500gb nikafanya installation mpaka mwisho nikaanza kuweka driver kwa kutumia dvd la driver park solution haikufika 100% ilifika 85% IKAZIMIKA kuwasha imekuja tena blue screen angalieni hii picha nimejaribu tena haikukubali naomba msaada kwenu wadau.