Je, ni gari yenye matatizo gani? Ulaji wa mafuta, upatikanaji wa speya, anatembea vzuri kwny barabara zetu? Kwa used bei zake kwa madafu zinarange vipi?
Naomba msaada, nimeona mtandao nikaipenda naazimia kununua so mawazo yenu yatakuwa ya msaada sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba msaada, nimeona mtandao nikaipenda naazimia kununua so mawazo yenu yatakuwa ya msaada sana.
Sent using Jamii Forums mobile app