Wadau inawezekanaje mtu aka conceive siku moja baada ya damu kukoma?

Habari,

Kuna kukosa ushahidi wa wazi kwamba kweli kama alikua mjamzito ile mimba ilitoka. Ni kawaida kwa hawa wenzetu wanapokuwa wajawazito, wakipata damu wanajichukulia kuwa mimba imeshatoka.

Kuna mazingira ambayo damu huweza kutoka na mimba ikaendelea kuwepo.

Je ilikuwa mimba ya umri gani?

Je alifanyiwa kipimo chochote kuthibitisha ujauzito ulitoka?

Je wingi wa damu iliyokuwa inatoka ilikuwaje?

Kwa wakati wowote alipata clots zozote?
 
Maybe haikua period
Bali ilikua ovulation
Baadhi ya watu hupata slight bleeding/spotting kwenye ovulation

awaulize hosp
Mshauri azae tu
 
Ni sahihi mwanamke kupata ujauzito siku moja tu baada ya hedhi kuisha sio kukoma!
Hii hutokea kwa wale wanawake ambao mzunguko wao haupo kwenye utaratibu wa kawaida yani;
1, Mzunguko wao huchukua siku pungufu ya 28
2, Wanawake wanaopata hedhi baada ya zaidi ya siku 28
3, Wanawake wanaopata hedhi kwa za zadi ya siku za kawaida yani 3_ 5 wengine hupata hedhi hata zaidi ya hapo
4, Wanawake wenye hormonal imballance wapo ktk hatari hiyo.
Nk

Mshauri mlengwa amwone daktari wa afya ya uzazi.

Sent using Jamii Forums mobile app

Nafikiri swali lilikuwa ni baada ya mimba ambayo ilihesabiwa kutoka na si damu ya hedhi.
 
Habari,
Kuna kukosa ushahidi wa wazi kwamba kweli kama alikua mjamzito ile mimba ilitoka. Ni kawaida kwa hawa wenzetu wanapokuwa wajawazito, wakipata damu wanajichukulia kuwa mimba imeshatoka.

Kuna mazingira ambayo damu huweza kutoka na mimba ikaendelea kuwepo.
Je ilikuwa mimba ya umri gani?
Je alifanyiwa kipimo chochote kuthibitisha ujauzito ulitoka?
Je wingi wa damu iliyokuwa inatoka ilikuwaje?
Kwa wakati wowote alipata clots zozote?
Consistently bleeding for 1 week
 
Utamtoa kizazi mwenzio acheni ujinga mimba ikitoka huwa karibia mwezi mpk miezi ukipima inaonekana ipooo , utamuua huyo mwanamke km bdo mnaendelea kupeana madawa.
Hajapata meinstruation ever since alivoinduce abortion akamaliza bleeding
 
Bleeding consistently for 1week mkuu hio haikua ovulation

Ovulation/ yai kupevuka haihusiki na damu kutoka kabisa. Damu hutoka siku 14 baada ya ovulation/yai kupevuka, ambayo huusisha mji/ukuta uliojengwa wa mimba kuondoka.
 
Ni sahihi mwanamke kupata ujauzito siku moja tu baada ya hedhi kuisha sio kukoma!
Hii hutokea kwa wale wanawake ambao mzunguko wao haupo kwenye utaratibu wa kawaida yani;
1, Mzunguko wao huchukua siku pungufu ya 28
2, Wanawake wanaopata hedhi baada ya zaidi ya siku 28
3, Wanawake wanaopata hedhi kwa za zadi ya siku za kawaida yani 3_ 5 wengine hupata hedhi hata zaidi ya hapo
4, Wanawake wenye hormonal imballance wapo ktk hatari hiyo.
Nk

Mshauri mlengwa amwone daktari wa afya ya uzazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio hedhi mkuu
 
Bleeding consistently for 1week mkuu hio haikua ovulation

Ovulation/ yai kupevuka haihusiki na damu kutoka kabisa. Damu hutoka siku 14 baada ya ovulation/yai kupevuka, ambayo huusisha mji/ukuta uliojengwa wa mimba kuondoka.
 
Consistently bleeding for 1 week
Hata kama ni zaidi ya wiki mimba huweza kuendele. Juna wanaobleed hata first trimester yote. Na bado mimba inaendelea. Lakini kiasi kinakuwa siyo kingi. Alifanya ultrasound inayoeleweka?
Fanya ultrasound kwa sasa itakupa umri wa ujauzito +- 2 weeks.
 
Hata kama ni zaidi ya wiki mimba huweza kuendele. Juna wanaobleed hata first trimester yote. Na bado mimba inaendelea. Lakini kiasi kinakuwa siyo kingi. Alifanya ultrasound inayoeleweka?
Fanya ultrasound kwa sasa, itakupa umri wa ujauzito +- weeks.
Ultrasound inaweza mfanua akazimiaanapewa hongera katoto kana miezi 3 sasa...!!

Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
 
Kwanza damu kutoka sio kwamba mimba imetoka inategmeana hiyo mimba ilikuwa na muda gani...!! Kwa maumivu ya abortion alafu kesho akaenda kukutana na mwanaumw duu huyo komando Amekuficha jambo hapo ila kwa scenario yako kama anasema ukweli bhasi mimba haikutoka.

Kama ilitoka bhasi hajasex na mwanaume mmoja na kama alisex nae bhasi ni week kadhaa baada ya mimba kutoka. Na week kadhaa mbele baada ya mimba Kutoka yani Mimba inapenyaa vizuri tu...

Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
Sio wiki kadhaa siku saba tu baada ya abortion mimba inaingia
 
Back
Top Bottom