cleokippo
JF-Expert Member
- Dec 21, 2014
- 2,072
- 1,697
habar wakuu, bila shaka umu jukwaan kuna wajuvi wengi wa mambo, ivyo natumai nitapata jibu la swali langu, kwa yeyote anayefaham application nzur ya ku protect simu isiibiwe naomba anijuze jaman ili niweke kwenye cm yangu. aksanten naomba kuwasilisha