Salama humu.
Kwenye hizi simu janja msg inapoingia inaonekana juu kwenye bar.Ukislide chini inaonekana kidogo siyo yote then kuna option pale ya 'mark as read'
Swali lifuatalo ni je hakuna simu janja yenye option ya delete.
Unajua huwezi kuzuia hii mitandao ya simu kutuma msg zao maana nao wanafanya biashara kuna watu wanawapata KWA hizi msg zao sàsa si wengine ndo ivo hatuna muda nazo.
Kuna msg zingine za waganga kutoka sumbawanga ukitaka utajiri na bahati ya maisha,kuna nyingine za shinda gari na pesa za bure..Sasa hizi na nyingine kila mtu ana interest zake.Sasa kama kuna simu nzuri ya kuzipiga hizi msg juu KWA juu bila kuingia inbox.
Kwenye hizi simu janja msg inapoingia inaonekana juu kwenye bar.Ukislide chini inaonekana kidogo siyo yote then kuna option pale ya 'mark as read'
Swali lifuatalo ni je hakuna simu janja yenye option ya delete.
Unajua huwezi kuzuia hii mitandao ya simu kutuma msg zao maana nao wanafanya biashara kuna watu wanawapata KWA hizi msg zao sàsa si wengine ndo ivo hatuna muda nazo.
Kuna msg zingine za waganga kutoka sumbawanga ukitaka utajiri na bahati ya maisha,kuna nyingine za shinda gari na pesa za bure..Sasa hizi na nyingine kila mtu ana interest zake.Sasa kama kuna simu nzuri ya kuzipiga hizi msg juu KWA juu bila kuingia inbox.