Wadau hapa hakuna upigaji kweli hapa...?

Wadau hapa hakuna upigaji kweli hapa...?

Nangose 1

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2017
Posts
7,207
Reaction score
6,786
Wadau naona pamekaa kimchongomchongo sana.. alafu nimejaribu kama kutuma kupitia email Yao ila email yenyewe haieleweki wakuu mara inagoma dadeq..
Ichungulie vizuri hyo email Yao wakuu maana hawakawi hawa wenyewe tunaangaikia Ajira na wao wanatafuta fursa kupitia waangaikaji
IMG-20220406-WA0023.jpg
 
Kimbia mkuu hapa kuna upigaji wa wazi wazi. Recruitment ya worldvision inafanyika kupitia website yao na ina mlolongo hasa kama zilivyo kazi za UN. ...hivi huoni hata email yao ina domain ya hotmail, haya ni majambazi mkuu.
 
Aloandika tangazo mwenyewe kaishia darasa la saba….angalia tu uandishi
Mia moja kumi saba , setifiketi
 
Wadau naona pamekaa kimchongomchongo sana.. alafu nimejaribu kama kutuma kupitia email Yao ila email yenyewe haieleweki wakuu mara inagoma dadeq..
Ichungulie vizuri hyo email Yao wakuu maana hawakawi hawa wenyewe tunaangaikia Ajira na wao wanatafuta fursa kupitia waangaikajiView attachment 2179203
bila Shaka utakuwa graduate wa Lita
 
Yaan kuna Tangazo nikiliona tu najua hapa hamna kitu Mkuu hao ni matapeli hakuna hyo ajira
 
bila Shaka utakuwa graduate wa Lita
Usikariri dogo.. kwanza hvyo vyuo vya Lita hata sivifahamu dogo. Sio Kila mada unayoona humu basi inamuhusu member husika.
 
Back
Top Bottom