Swizzy
JF-Expert Member
- Nov 4, 2016
- 773
- 511
Siku hizi mahakamani kuna viyoyozi. Tupelekwe tu tukaenjoy.
ha ha haaa!!! watakuja na Fungua Fanta Uone (FFU) huko kwenye kazi zenu
Siku hizi mahakamani kuna viyoyozi. Tupelekwe tu tukaenjoy.
Wewe lipa mkopo ndugu, kwani hukuambiwa kama ni mkopo.Duuuh yaan bora mliosoma mapema maana hii ni hatari. Jamani lakini ikumbukwe hata wao wamepita kwenye hatua hizo Sasa mbona wanaumiza wenzao kiasi hiki?
NMB sasa imefikia 22% kwenye mikopo si 18% tenaDuuu!! PAYEE 18%, Bima ya Afya 8%, HESLB 15%, LAPF 5%, Mkopo wa Benki 18%...Hahahahahaaaaa this World is not fair jamani!!!
Mkuu jumatano naibu waziri wa elimu alisema imeshasainiwa tatari chanzo EATV kikaangoniWewe umeipata habari hii wapi...hiyo 8% imekuwa kivumbi.Source tafadhali.
Source nilikuwa nimeshapata mkuu , hao mods wameunganisha comment yangu yatoka mwezi wa SeptembaMkuu jumatano naibu waziri wa elimu alisema imeshasainiwa tatari chanzo EATV kikaangoni