Unakuta mdada ni rafiki tu, mnawasiliana vizuri eitha kwa simu na hata kutembeleana, cha kushangaza ikitokea mdada akiwa na shida akiomba msaada kwako(hasa pesa) ukimpatia tu, kuanzia cku hiyo utaanza kuona anavyokukwepa kisa eti yuko busy! Akiishiwa yeye ndo wakulaumu eti unamtenga! Wapo wadada wengi wanamna hii hasa mijini