point ipo hapo.....ni ukweli kabisa na hakuna kona kona kwa hili.....amini nakwambia....
hata sielewi kwa kweli acha tu nikaombewe....au na mimi nijilipue?
the boss kweli wala sipendi ndoa kiviile believe me...uliposema unashangaa wenzio wanaolewa
hapo ndo point muhimu
cha kufanya mwambie mtu wako yeyote anaekufuata
kuwa ungependa kuolewa
so hutakuwa tayari kwa sex wala mahusiano marefu bila ndoa kwanza
inasaidia
loh nashukuru kwa kunielewa utadhani upo moyoni mwangu .....Pamoja na kuwa umelenga kupata mawazo ya wadada, naomba tu na mimi usome mawazo yangu juu yako. Ila samahani kama nitakukwaza kwa namna yo yote ile. Nilitamani nikwambia ktk private mail, lakini sijui naona kana sina jinsi, but also given the relevance of your mada
Mimi nimejiunga hivi karibuni hapa jamvini, lakini ktk uzoefu wangu wa muda mfupi hapa -of course kupita comments na mada zako mbalimbali nimegundua mambo mawili matatu juu yako ambayo binafsi naamini yana ukweli ndani yake. Nitayasema moja baada ya jingine:
Kwanza kabisa, kama baadhi ya watu walivyosema, unaonekana una confidence ya hali ya juu.
Pili, unajua ku-analyze issues mbalimbali zinazohusu relationship - binafsi nakukubali. Hii inanipa picha kuwa unauzoefu mkubwa ktk mambo haya aidha kwa kufanya, kusoma, kuona au kuishi na watu mbalimbali walio kwenye relationship
Tatu, uko makini sana ktk mambo yako -sijui nitumie maneno gani unielewe ninachotaka kueleza ktk point hii. Yaani wewe uko very perfect, ni TBS kwa maneno mengine. Mtu wa aina hii ni rahisi sana kuwa disappointed, maana unakuwa unategemea mwenzio naye awe kama wewe.
Nne, unaonekana siyo wanamke unayempenda mwanaume kwa kupasi time tu. Kwa maana nyingine unaonekana huwezi kumkubalia mwanaume eti kwa vile ana pesa, mali, kazi, madaraka sijui nini. Yaani, kwako ungetamani umpate mmoja unayempenda kwa vigezo vyako, na awe huyo huyo mmoja ktk maisha yako!
Tano na mwisho, nakuona kama ni mwanamke ambaye alishawahi kutendwa, tena mara nyingi tu. Matokeo yake ume-develop negativity kwa wanaume karibia wote.
Ila samahani kama nimeku-judge vibaya, ni mawazo yangu tu. Kama hayo niliyoyasema juu yako ni sahihi, basi haya ndo yanaweza kuwa chanzo cha tatizo lako. Kiukweli huwa natamani kama kungekuwa na uwezekano tukutane tuongee ana kwa ana (sounds private, lakini sina maana hiyo kabisa au najihisi, aaaha!). Nahisi ningeweza kukushauri zaidi na zaidi. Bahati mbaya hatuwezi kuonana due to geographical location.
wala sijafocus kwenye kuolewa Kongosho ndoa ni matokeo tu
hayo mapenzi na kuridhika yako wapi?
sasa@gfsonwin utajuaje huyu jamaa huyu nijiachie kwake atakuwa mume wangu au nitadumu nae maana wanaume ni wanafiki jamani siwaamini my dia ......nashindwa kabisa kuwa kwenye mahusianoSmile kwani kuolewa ni dhambi? na what do you want out of your relationshp? nafikiri at your age lazima uwe na maamuzi na matamanio ambayo ni dhahiri usije na misemo eti kuolewa ni bahati wakati wewe mwenyewe ndiye usiye focus huko. usitake mwanaume wa kukutia tu pasi kuwa na future. if that is the case ma dia utatiwa sana na hawa wenzetu. ushauri wangu kwako tafuta mwenzi ambaye atakuja kuwa mumeo usibahatishe tena tell God what do you want.
heri wewe unamjua peke yako ... mimi hata moyo wangu haumkubali ... nashindwa kabisa kumpenda mtuseriously na mimi nina hofu kama yako, yaani ile confidence ya kumtambulisha mtu sina kabisa, tena mara nyingi imekuwa ikitokea nimemaliza kumtambulisha tu, vioja vinaanza na tunaachana, siku hizi mpenzi wangu namjua mimi peke yangu
sasa@gfsonwin utajuaje huyu jamaa huyu nijiachie kwake atakuwa mume wangu au nitadumu nae maana wanaume ni wanafiki jamani siwaamini my dia ......nashindwa kabisa kuwa kwenye mahusiano
heri wewe unamjua peke yako ... mimi hata moyo wangu haumkubali ... nashindwa kabisa kumpenda mtu
mi siwazi hata kuolewa .... I wish ningekuwa na rafiki wa ukweli dada yangu ila sipati waanangalia tu k yangu na mimi sitaki.....we mrembo achana na mawazo ya kuolewa..........
Siku hizi hakuna mwanaume wa kwako peke yako kubali ukatae
habari ndo hiyo....................
mi siwazi hata kuolewa .... I wish ningekuwa na rafiki wa ukweli dada yangu ila sipati waanangalia tu k yangu na mimi sitaki.....