Wadada wenye vitambi wanaboa


Unapo amka Asubuhi Fanya zoezi basi khaaaa!
 
......Ukichagua sana mwisho ni kutoka na Koroma.
Kuacha Ndogondogo, Kutoka na Jimama- Lakuchumpa-Lakuchumpa-Lakuchumpa-Lakuchumpa.
-Mzee wa Madongo (Hamza Kalala)
Naimba jamani.
:msela::msela::msela::msela::msela::msela::msela::msela::msela::msela::msela::msela:
 
Kitambi kwa Mwanamke ( Msichana0 siyo Deal Kabisa; Ila kama Ulivyosema Kuna Kigine Kinapendeza Kidezini lakini hiki ni Lazima Huku Nyuma Pawepo na Mbinuko Kusupport body. Siyo Siri Kitambi Ni Bundi Kikiwa kwa Mwanamke anayesanya sanya.

khaaaaa jamani......anaesanyasanya....haaaaaaa
 
Ivi inakuaje pale mnapokutana mwanamke na mwanaume kwa bed afu wote mna vitambi? c ndo mission inakua impossible!!
 
ukikutana nae nyuma hana, afu kitambi kipo afu bonge bonge anakuwa mviringo kama gogo:smile-big:
 
siku hizi wadada kama wakaka, mdada unakutana nae ana kitambi, ndevu na wengine hata sauti kubwa kama wanaume!
 

uwiii miss chagga umesahau na ka-mbege vitochi viwili jamani!
 
Ukipata mwana mke mwenye kitambi komesha nikumupiga kichuma muchicha.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…