wadada wabaya ndo hutongoza wanaume

wadada wabaya ndo hutongoza wanaume

Wewe mwenyewe kipande?????!!!!!
Au unataka visu wakati na wewe ndo pangu pakavu???!!!!
Hao visu unaowasema wanatongoza ila ni masista duu maarifa so kusoma betwen em lines needs umakini katika hilo!!!!!


Either ways mwanamke mwenye ujasiri wa kukutongoza msikilize na mueleweshe kwa mujibu wa matakwa yako kama you are tricky enough make her the best friend hutojuta ni washauri wazuri na mara nyingi huwa wanamsaada sana pindi unapokuwa na uhitaji!!!

Kila game ina rules zake ukizingatia hujuti kucheza

We sururu! Nikisema jembe ntakuwa nimekudhurumu
 
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE.... (copy from lala 1)

nawasalimu wana jamvi.., hop mko poa na mnaendelea na kazi, japo wengine hang-over zinasumbua lakin inshallah jion itafika tu.

ni mijadala mingi imepita kuhusu wanawake kuwatongoza wanaume na utamaduni wa kiafrika, kwangu mim naona ni kitu kizuri mtu kueleza hisia zake, haijarishi ni mwanamke au mwanaume.

sasa mie hili limenitokea mara ya tatu kutongozwa na wasichana. sio kwamba mim nina muonekano mzuri, la hasha,

lakin wasichana wote hao ni wale shapeless, sura mbaya, yaani sio presentable kabisa. naiuliza siri iliyopo hapa, je wadada waliokata tamaa kabisa ndo hufikia wakati kutongoza wanaume sababu hawatongozwi au ni kitu gani? wanaume wenzagu semen, mlishawahi kutongozwa na mdada kisu kabisa?

mie kutokana na experience hiyo nime conclude kwamba utaratibu wa wadada kuwatongoza wanaume haupo, ila tu ni kwa wachache ambao wamepoteza muelekeo.

wadau prove me wrong.[/QUOT


Mkuu, hujamtendea haki Lara1! ulitakiwa umalizie kwa..."KUBWA LA MAADUI!!!!!"

Back to mada, unadhani nani anastahili hao unaowaita shapeless? Kwa taarifa yako, the best does sometimes come from 'the most unlikely of sources'. Wana karama zao pia! Never belittle your fellow human being, hujafa hujaumbika, ndugu!

PP
 
Kauli hii si kweli, hata wadada walioumbwa wakaumbika wakikuzimikia hawaoni hiyana kukutongoza.
 
ha ha ha ha..., sasa hapo bro si unazungumzia machangudoa.. hao wanakutongoza mpaka anakushika mkono mka du..,

Mwanzo nilidhani hivyo ila hapana bro, nilikuja kuona baadae ni mtu na heshima yake na uwezo wake kabisa huwezi amini aisee
 
kwanza naomba nikurekebishe hamnaga mwanamke mmbaya, ni bahat yako 2 ndo mbaya mi nshakutana na wenye mvuto kupitiliza
 
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE.... (copy from lala 1)

nawasalimu wana jamvi.., hop mko poa na mnaendelea na kazi, japo wengine hang-over zinasumbua lakin inshallah jion itafika tu.

ni mijadala mingi imepita kuhusu wanawake kuwatongoza wanaume na utamaduni wa kiafrika, kwangu mim naona ni kitu kizuri mtu kueleza hisia zake, haijarishi ni mwanamke au mwanaume.

sasa mie hili limenitokea mara ya tatu kutongozwa na wasichana. sio kwamba mim nina muonekano mzuri, la hasha,

lakin wasichana wote hao ni wale shapeless, sura mbaya, yaani sio presentable kabisa. naiuliza siri iliyopo hapa, je wadada waliokata tamaa kabisa ndo hufikia wakati kutongoza wanaume sababu hawatongozwi au ni kitu gani? wanaume wenzagu semen, mlishawahi kutongozwa na mdada kisu kabisa?

mie kutokana na experience hiyo nime conclude kwamba utaratibu wa wadada kuwatongoza wanaume haupo, ila tu ni kwa wachache ambao wamepoteza muelekeo.

wadau prove me wrong.
I can prove you wrong mkuu...labda hapo kwenye red ndio panakuangusha na pamekuletea ma shapeless na wabovu!kwangu wote visu tena vibaya mno, kuna mmoja huyo mtaa mzima vijana walikua wanaaangaika naye na ile sura na shepu + kidoti usoni, toto la kichaga,kidume nilikua sina hata tym naye ingawa nilikua namkubali mkali ila sikutaka competition na mijitu yote street,si alimtuma mtu aje kunipa ukweli kama ye kafa kabisa na kuoza...dah umenikumbusha mbali sana.
 
Kuna mwanamke alintongoza ,ana pengo si mwanya na mvi za kutosha ila ana makalio na umbo zuri kiujumla..lakini wengine walinilidhisha na muonekano wao
 
mi naona inategemea mapenzi yamekupokea je mbona. kuna warembo wengi tu wamewatongoza wanaume
 
Kauli hii si kweli, hata wadada walioumbwa wakaumbika wakikuzimikia hawaoni hiyana kukutongoza.

Hajapataga bahati ya kukutana na hao viumbe wenye reference za kutosha ndo maana anaona sia jamboa la kawaida
 
Wanawake wote wanatongoza
isipokuwa wengi hawatongozi kwa kusema kwa mdomo,
vitendo tu
The Boss umependeza!!!! na shati lako limekukaa vizuri kweli, ila kola hujaiweka vizuri,..... naomba nikurekebisha kola!!! unanukia vizuri sana, unatumia perfume aina gani? :smile::smile::smile:
 
8F4roYBjhMse4AAAAASUVORK5CYII=
hata wadada nao hutngozwa na sura kama hizi!!
 
I can prove you wrong mkuu...labda hapo kwenye red ndio panakuangusha na pamekuletea ma shapeless na wabovu!kwangu wote visu tena vibaya mno, kuna mmoja huyo mtaa mzima vijana walikua wanaaangaika naye na ile sura na shepu + kidoti usoni, toto la kichaga,kidume nilikua sina hata tym naye ingawa nilikua namkubali mkali ila sikutaka competition na mijitu yote street,si alimtuma mtu aje kunipa ukweli kama ye kafa kabisa na kuoza...dah umenikumbusha mbali sana.
ha ha ha..., hapo hapaniangushi kivile, ni kijana wa kawaida, sio hb sana wala sura mbaya. ila hapo hukunielewa vizuri, sikumaanisha wale wanaotuma watu au kuonesha viashiria kwamba she is in love, naungumzia wale wanaokuita na kukupiga sound kabisa macho makavu..
 
[/QUOT


Mkuu, hujamtendea haki Lara1! ulitakiwa umalizie kwa..."KUBWA LA MAADUI!!!!!"

Back to mada, unadhani nani anastahili hao unaowaita shapeless? Kwa taarifa yako, the best does sometimes come from 'the most unlikely of sources'. Wana karama zao pia! Never belittle your fellow human being, hujafa hujaumbika, ndugu!

PP
ha ha ha..., usijali next time nitamalizia kabisa. ushauri wako nimeuchukua. nitamfanya best friend, ila ku do hapana.
 
ha ha ha..., hapo hapaniangushi kivile, ni kijana wa kawaida, sio hb sana wala sura mbaya. ila hapo hukunielewa vizuri, sikumaanisha wale wanaotuma watu au kuonesha viashiria kwamba she is in love, naungumzia wale wanaokuita na kukupiga sound kabisa macho makavu..
Okay Mkuu..pia wapo wanaotokea kwnye fbuk ama phone sio face to face!!ila niliowazungumzia wengi wametuma washkaji ama wenzao kufikisha ujumbe.
 
Back
Top Bottom