dyuteromaikota
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 5,936
- 8,345
Mkuu umemlipa lara1 kwa kutumia hati miliki yake?
Wewe mwenyewe kipande?????!!!!!
Au unataka visu wakati na wewe ndo pangu pakavu???!!!!
Hao visu unaowasema wanatongoza ila ni masista duu maarifa so kusoma betwen em lines needs umakini katika hilo!!!!!
Either ways mwanamke mwenye ujasiri wa kukutongoza msikilize na mueleweshe kwa mujibu wa matakwa yako kama you are tricky enough make her the best friend hutojuta ni washauri wazuri na mara nyingi huwa wanamsaada sana pindi unapokuwa na uhitaji!!!
Kila game ina rules zake ukizingatia hujuti kucheza
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE.... (copy from lala 1)
nawasalimu wana jamvi.., hop mko poa na mnaendelea na kazi, japo wengine hang-over zinasumbua lakin inshallah jion itafika tu.
ni mijadala mingi imepita kuhusu wanawake kuwatongoza wanaume na utamaduni wa kiafrika, kwangu mim naona ni kitu kizuri mtu kueleza hisia zake, haijarishi ni mwanamke au mwanaume.
sasa mie hili limenitokea mara ya tatu kutongozwa na wasichana. sio kwamba mim nina muonekano mzuri, la hasha,
lakin wasichana wote hao ni wale shapeless, sura mbaya, yaani sio presentable kabisa. naiuliza siri iliyopo hapa, je wadada waliokata tamaa kabisa ndo hufikia wakati kutongoza wanaume sababu hawatongozwi au ni kitu gani? wanaume wenzagu semen, mlishawahi kutongozwa na mdada kisu kabisa?
mie kutokana na experience hiyo nime conclude kwamba utaratibu wa wadada kuwatongoza wanaume haupo, ila tu ni kwa wachache ambao wamepoteza muelekeo.
wadau prove me wrong.[/QUOT
Mkuu, hujamtendea haki Lara1! ulitakiwa umalizie kwa..."KUBWA LA MAADUI!!!!!"
Back to mada, unadhani nani anastahili hao unaowaita shapeless? Kwa taarifa yako, the best does sometimes come from 'the most unlikely of sources'. Wana karama zao pia! Never belittle your fellow human being, hujafa hujaumbika, ndugu!
PP
ha ha ha ha..., sasa hapo bro si unazungumzia machangudoa.. hao wanakutongoza mpaka anakushika mkono mka du..,
We sururu! Nikisema jembe ntakuwa nimekudhurumu
wanawake msiojua kutongoza jifunze. Hawana maumivu kabisa hasa pale unapomwacha au kuachwa. unasonga mbele.
Wewe mwenyewe kipande?????!!!!!
Au unataka visu wakati na wewe ndo pangu pakavu???!!!!
Au yupo kama hyo avatar yake hapo juu?
Wewe mwenyewe kipande?????!!!!!
Au unataka visu wakati na wewe ndo pangu pakavu???!!!!
Au yupo kama hyo avatar yake hapo juu?
Atajitambua tu kwa kuona hao ma.bebs wake
I can prove you wrong mkuu...labda hapo kwenye red ndio panakuangusha na pamekuletea ma shapeless na wabovu!kwangu wote visu tena vibaya mno, kuna mmoja huyo mtaa mzima vijana walikua wanaaangaika naye na ile sura na shepu + kidoti usoni, toto la kichaga,kidume nilikua sina hata tym naye ingawa nilikua namkubali mkali ila sikutaka competition na mijitu yote street,si alimtuma mtu aje kunipa ukweli kama ye kafa kabisa na kuoza...dah umenikumbusha mbali sana.IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE.... (copy from lala 1)
nawasalimu wana jamvi.., hop mko poa na mnaendelea na kazi, japo wengine hang-over zinasumbua lakin inshallah jion itafika tu.
ni mijadala mingi imepita kuhusu wanawake kuwatongoza wanaume na utamaduni wa kiafrika, kwangu mim naona ni kitu kizuri mtu kueleza hisia zake, haijarishi ni mwanamke au mwanaume.
sasa mie hili limenitokea mara ya tatu kutongozwa na wasichana. sio kwamba mim nina muonekano mzuri, la hasha,
lakin wasichana wote hao ni wale shapeless, sura mbaya, yaani sio presentable kabisa. naiuliza siri iliyopo hapa, je wadada waliokata tamaa kabisa ndo hufikia wakati kutongoza wanaume sababu hawatongozwi au ni kitu gani? wanaume wenzagu semen, mlishawahi kutongozwa na mdada kisu kabisa?
mie kutokana na experience hiyo nime conclude kwamba utaratibu wa wadada kuwatongoza wanaume haupo, ila tu ni kwa wachache ambao wamepoteza muelekeo.
wadau prove me wrong.
Kauli hii si kweli, hata wadada walioumbwa wakaumbika wakikuzimikia hawaoni hiyana kukutongoza.
The Boss umependeza!!!! na shati lako limekukaa vizuri kweli, ila kola hujaiweka vizuri,..... naomba nikurekebisha kola!!! unanukia vizuri sana, unatumia perfume aina gani? :smile::smile::smile:Wanawake wote wanatongoza
isipokuwa wengi hawatongozi kwa kusema kwa mdomo,
vitendo tu
ha ha ha..., hapo hapaniangushi kivile, ni kijana wa kawaida, sio hb sana wala sura mbaya. ila hapo hukunielewa vizuri, sikumaanisha wale wanaotuma watu au kuonesha viashiria kwamba she is in love, naungumzia wale wanaokuita na kukupiga sound kabisa macho makavu..I can prove you wrong mkuu...labda hapo kwenye red ndio panakuangusha na pamekuletea ma shapeless na wabovu!kwangu wote visu tena vibaya mno, kuna mmoja huyo mtaa mzima vijana walikua wanaaangaika naye na ile sura na shepu + kidoti usoni, toto la kichaga,kidume nilikua sina hata tym naye ingawa nilikua namkubali mkali ila sikutaka competition na mijitu yote street,si alimtuma mtu aje kunipa ukweli kama ye kafa kabisa na kuoza...dah umenikumbusha mbali sana.
ha ha ha..., usijali next time nitamalizia kabisa. ushauri wako nimeuchukua. nitamfanya best friend, ila ku do hapana.[/QUOT
Mkuu, hujamtendea haki Lara1! ulitakiwa umalizie kwa..."KUBWA LA MAADUI!!!!!"
Back to mada, unadhani nani anastahili hao unaowaita shapeless? Kwa taarifa yako, the best does sometimes come from 'the most unlikely of sources'. Wana karama zao pia! Never belittle your fellow human being, hujafa hujaumbika, ndugu!
PP
Okay Mkuu..pia wapo wanaotokea kwnye fbuk ama phone sio face to face!!ila niliowazungumzia wengi wametuma washkaji ama wenzao kufikisha ujumbe.ha ha ha..., hapo hapaniangushi kivile, ni kijana wa kawaida, sio hb sana wala sura mbaya. ila hapo hukunielewa vizuri, sikumaanisha wale wanaotuma watu au kuonesha viashiria kwamba she is in love, naungumzia wale wanaokuita na kukupiga sound kabisa macho makavu..